pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 461
- 644
Wakuu habarini!,
Mwaka Jana niliungua TB kwa bahati nzuri niliweza nikatumia dawa kwa miezi 6 nikapona.
Lakini baada ya miezi kama 5 hivi,kihoozi kilirudi mpaka sasahivi nakoa tu..nimejaribu kutumia dawa zote za kihozi yaani vidoge na maji lakini siponi.
Zaidi nimepima TB Mara mbili zote majibu sina.
Kama ni minyoo nimetumia dawa zote za minyoo ikiwemo Zend lakini siponi tu.
Usiku sikohoi kabisa ila mchana nakoa sana sijui ni tatizo gani..nmeenda hospital za private na public lakini siponi tu.
Madaktari mliopo humu naombeni ushauri wenu.
Mwaka Jana niliungua TB kwa bahati nzuri niliweza nikatumia dawa kwa miezi 6 nikapona.
Lakini baada ya miezi kama 5 hivi,kihoozi kilirudi mpaka sasahivi nakoa tu..nimejaribu kutumia dawa zote za kihozi yaani vidoge na maji lakini siponi.
Zaidi nimepima TB Mara mbili zote majibu sina.
Kama ni minyoo nimetumia dawa zote za minyoo ikiwemo Zend lakini siponi tu.
Usiku sikohoi kabisa ila mchana nakoa sana sijui ni tatizo gani..nmeenda hospital za private na public lakini siponi tu.
Madaktari mliopo humu naombeni ushauri wenu.