wagotheleopardskiller
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 299
- 458
Ngoja niijaribu hii yako mkuuChukua Tangawizi isage vizuuri,
Limao/ndimu kamua maji yake,
Chukua Asali mix na Tangawizi iliyosagwa pamoja na yale maji ya limao/ndimu,
Itatokea paste flan hivi amazing,
Kula hiyo paste asubuhi, mchana na jioni.
Kisipoisha hapo ndani ya siku 3 hadi 7 basi nenda kakate kimeo.

