Umeonesha umaskini wa akili na hujui kinachoendelea duniani.Ingia YOUTUBE search Hadija Jabir, Mamy Mlangwa na Meshack Maganga.Hao 3 wanakutosha.
Mjini sana wewe,Hata MO na Bakhresa wanatajirika kwa kilimo.Jiulize wewe mwenyewe kila siku unahitaji kula lakini nguo utanunua kila siku HUNA AKILI.
bhikola
Hata useme nini hiki ni kipindi cha uongozi wa hovyo kuwahi kutokea TZ Purchasing power ya wananchi imepungua sana hivyo basi usitarajie maendeleo kuwepo sababu hakutakuwa na investment za kutosha kuinua hali ya uchumi wetu.Acha unazi nchi inaanguka.
Msiyoyaweza yaacheni sio kuandika hesabu za kipuuzi.Tuacheni Wahasibu na Wachumi.Kama umebaki na 300 bilioni mishahara ambayo wage bill yake inakadiriwa ni 570 bilioni inatoka wapi na Operations costs zinatoka kwa baba yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.