Mafuta ya nazi halisia yanapatikana

Mafuta ya nazi halisia yanapatikana

Clairekyrie

Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
16
Reaction score
15
250ml kwa Tsh. 13,000.
Tupo Mbagala Dar es Salaam
Simu 0682432363
karibuni

1131368
 
Yani mafuta ya Nazi 13000? Nyie wajisiliamali wa kisasa mmezidi khaaa!! Wakati hapa vingunguti kama hayo buku tu .
 
Kuna mafuta yasiyochemshwa au kupita kwenye moto na mafuta ya nazi yaliyochemshwa na kupitia kwenye moto.
 
Thamani ya yasiyochemshwa ni ghali na yana thamani kubwa kuliko yaliyochemshwa.
Asee acha tuu unajua watu hawajui tuu utengenezaji wa mafuta aya wanajua mnara na parachute ni mafuta ya nazi halisi yani.kipindi naanza kufanya ii biashara nilipata changamoto sna kuelimisha watu
 
Asee acha tuu unajua watu hawajui tuu utengenezaji wa mafuta aya wanajua mnara na parachute ni mafuta ya nazi halisi yani.kipindi naanza kufanya ii biashara nilipata changamoto sna kuelimisha watu
Tressa 250ml yanauzwa 4,000/= kweli wajasiliamali wa bongo wanasafari ndefu sana.!!
 
Tressa 250ml yanauzwa 4,000/= kweli wajasiliamali wa bongo wanasafari ndefu sana.!!
Labda yanachanganywa na kitu mana mi natumia njia mbil kukamua ayo mafuta moja ni njia ya asili ambayo ni jua na iyo njia ili upate lita moja inabidi utumie nazi 30 adi 35 tena zile zilizokomaa ndo zenyemafuta na yapili ni mashine ukitumia iyo nazi huongezeka hutumia nazi 40 na zaid,piga nazi ni shingapi bado hujaikuna na hujapaki mzee
 
Labda yanachanganywa na kitu mana mi natumia njia mbil kukamua ayo mafuta moja ni njia ya asili ambayo ni jua na iyo njia ili upate lita moja inabidi utumie nazi 30 adi 35 tena zile zilizokomaa ndo zenyemafuta na yapili ni mashine ukitumia iyo nazi huongezeka hutumia nazi 40 na zaid,piga nazi ni shingapi bado hujaikuna na hujapaki mzee
Ishu hipo hivi ili upate faida hautaji kuuza bidhaa zako kwa bei ghari unatakiwa utumie njia ambazo za kisasa au ambazo vipo more advanced ili kuweza kuongeza uzalishaji (production rate) ila kwa wajasiriamali wengi ilo ni tatizo.

Binafsi nilikuwa nafanya paper recycling lakini nimesitisha kutokana na uzalishaji kuwa mdogo nipo natafuta kununua mashine za kisasa kidogo.

Ndio maana nasema wajasiriamali wabongo wana safari ndefu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom