CHADEMA wazungumza na Wanahabari kuhusu Mwanafunzi aliyeuawa na jinsi Mbowe anavyotafutwa na Polisi

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Tunaomba kukutaarifu na kualika chombo chako kwenye mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika Ofisi za CHADEMA Kanda ya Pwani (Magomeni) kuanzia saa 9 mchana, ambapo Viongozi waandamizi wa Chama watazungumza juu ya masuala muhimu. Tunasisitiza yatakuwa masuala muhimu. Tunatanguliza shukrani zetu.

========UPDATES

Waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali wamefika Ofisi za Chadema Kanda ya Pwani.-

Baada ya mawaziri wawili kutoka wizara tofauti kuongea na waandishi wa habari kuhusu kifo cha mwanafunzi wa NIT - Akwilina, CHADEMA wakosoa kauli zao za maswala ya uchunguzi; wadai mawaziri wanaleta siasa katika vitu vyenye maana.

CHADEMA kupitia kwa Mkurugenzi wake wa Mahusiano, Itifaki na Mambo ya Nje, John Mrema amewataka Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mwigulu Nchemba na Naibu Waziri wake Hamad Masauni kujiuzulu kufuatia kifo cha mwanafunzi aliyeuawa kwa kupigwa risasi.

Tumemsikia Kamanda Mambosasa akieleza kuwa polisi wanamtafuta mwenyekiti wetu Freeman Mbowe. Mwenyekiti yupo hajajificha tunamshangaa Kamanda Lazaro Mambosasa anamtafuta mtu ambaye anajua anakaa wapi: Benson Kigaila Mkrugenzi wa Oparesheni ya Uchaguzi CHADEMA.

"Tunamtaka Masauni na Mwigulu wakumbuke Mwinyi alijiuzulu wakati wafungwa walipofia Gerezani Shinyanga," -John Mrema

"Serikali haiumii kupoteza raia wake bali inaumia raia aliyekufa amepoteza mkopo, unaweza ukashangaa sana, eti Serikali wao wanasikitishwa kwa sababu Serikali imetumia pesa nyingi kumgharamia mwanafunzi huyu ni mnufaika wa mkopo" John Mrema

IMG_20180218_171442.jpg


Tumesikia Mambosasa na amekuwa very specific amesema anamtafuta Mwenyekiti wa CHADEMA, Mhe Freeman Mbowe M/kiti wetu hajajificha mpaka polisi wakatangaze kwenye vyombo vya habari kwamba wanamsaka, yupo wampe wito, wanazo taratibu za kumuita mtu polisi"

"Au wakamkamate, wanajua ofisini kwake Makao Makuu ya CHADEMA, Ofisi za Bunge au ofisi za biashara zake binafsi na hata nyumbani kwake kote wanajaua na taratibu za kumuita mtu polisi zinajulikana"

" Polepole amesema CHADEMA tuliwapakia vijana kwenye mabasi ili wakashiriki maandamano, eti hata huyu binti alikuwa miongoni mwa waliokuwa wamepakiwa kwenye bus kwenda kwenye maandamano, hii ni kauli ya hovyo kabisa, sio kauli ya Kiongozi"

" Polepole anataka kuwaambia nini wazazi wa yule mwanafunzi? inasemekana mwanafunzi huyu alitoka kwenye safari zake alikuwa kwenye daladala, Jeshi la polisi likamuhoji Polepole inawezekana anaelewa zaidi tukio hili lilivyotokea "

"Sisi CHADEMA tulitoka kwenye mkutano wa hadhara tukawa tunaenda na mawakala wetu kwa Mkurugenzi kudai viapo na barua za mawakala wetu, kama polisi waliona ni kosa, kuna utaratibu wa kuzuia maandamano na upo kwa mujibu wa sheria, sheria iliyounda jeshi la polisi" John Mrema

““Mambosasa anasema ilipigwa risasi moja juu, kisha anasema wamekamatwa askari sita, walipigaje hiyo risasi na aliyeamuru risasi zipigwe juu ni nani,”
"Viongozi wa aina hii hawastahili hata kuongoza kikundi cha ngoma,”-

“Risasi ziliwalenga viongozi wa juu wa Chadema, lakini leo wanasema sisi tumesababisha, tunawezaje kujipiga risasi wenyewe,”- Benson Kigaila, Kamanda wa Operesheni Uchaguzi Kinondoni.

"Ukisema yule binti alibebwa na mabasi ya Chadema, wakati ndugu, jamaa na marafiki zake wanajua alikuwa wapi, hata ukienda kwenye msiba ndugu zake wanakuonaje,”- Benson Kigaila, Kamanda wa Operesheni Uchaguzi Kinondoni.

“Watu waliopigwa risasi ni walinzi wanne wa viongozi na wanatibiwa katika hospitali mbalimbali, risasi hazikupigwa juu, zilikuwa zinalenga nyonga na miguu,”- Benson Kigaila, Kamanda wa Operesheni Uchaguzi Kinondoni

.“Mtu wa kwanza aliyesababisha mauaji hayo ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Jimbo la Kinondoni, ambaye tangu mwanzo tulisema ni jeuri, hakuna siku watu wameapa wakaacha viapo vyao wakaondoka,”- Benson Kigaila, Kamanda wa Operesheni Uchaguzi Kinondoni.

“Kesho wanasheria wetu watatoa tamko kuhusu hatua za kisheria tutakazochukua kuhusiana na suala la uchaguzi na kifo cha mwanafunzi,”- John Mrema Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano, Uenezi na Mambo ya Nje.
 
Tunaomba kukutaarifu na kualika chombo chako kwenye mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika Ofisi za CHADEMA Kanda ya Pwani (Magomeni) kuanzia saa 9 mchana, ambapo Viongozi waandamizi wa Chama watazungumza juu ya masuala muhimu. Tunasisitiza yatakuwa masuala muhimu. Tunatanguliza shukrani zetu.
========UPDATES
Mnachosha.
 
Matukio ambayo yanaendelea malipo ni hapa hapa duniani, akipandacho mtu ndicho atakachovuna, walikuwepo wakina Gaddaf, mubarak, Idd Amin, Hitler, Goliath, Firauni. Tutaendelea kumlilia Mungu na siku itakayo mpendeza atatujibu na kutuelekeza nini tufanye.
 
Amani iwe nanyi:

Tabia ya kusema huyu ni mwenzetu kwa hiyo asisemwe hadharani inazidi kuota mizizi ndani ya chadema. Ni jambo la kusikitisha sana kwamba mtu akiwa mwanachadema hata akitenda maovu chama kitamlinda kwa nguvu zote na kumtetea.

Hii tabia ilikomaa kipindi kile mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda akitaja wauza madawa ya kulevya. Walitajwa wa vyama vyote lakini alipotajwa Mbowe chama badala ya kumwajibisha kikaanza kumlinda na kumtetea!!!

Ikaja kwenye mashamba pori , wengi wamenyang'anywa na kurejeshwa serikakini lakini waliponyang'anywa viongozi wa chadema(Sumaye) chama badala ya kumwajibisha sasa kinamtetea eti ameonewa!!

Jana tena Freeman Mbowe ameitisha maandamano yasiyo na kibali tena yanayoanza saa 12 jioni kuelekea ofisi ya mkurugenzi , matokeo yake vurugu zikatokea barabarani na kupelekea mabasi kupigwa mawe na hatimaye mwanafunzi asiye na hatia kupoteza maisha kwa kupigwa risasi.

Ukweli ni kwamba bila Mbowe kuitisha maandamano haya mauaji yasingetokea, lakini pamoja na ukweli wote huu kuwa wazi bado wafuasi wa chadema wanamkingia kifua na kumtetea Mbowe badala ya kumtaka awajibike kutokana na uovu alioufanya!!

Mara nyingi pia tumekuwa tukiona mtu anaitwa mwizi na fisadi akiwa chama kingine lakini fisadi huyo akihamia chadema ghafla anasafishwa na kuanza kulindwa kwa nguvu zote na wanachadema!!

Kama sasa hivi hamjashika dola mnalindana namna hii mkishika uongozi wa nchi itakuwaje??

Si watu wataiba hadharani na kukimbilia kuchukua kadi ya chadema ili watetewe?

Tabia hii haikubaliki na ni mwendawazimu tu wa kushabikia tabia ya kusitiriana maovu namna hii.
 
Acha uzushi kuhusu Mbowe!!!


ShyRose Bhanji: CCM na serikali yake haiwezi kukwepa kwa mauwaji ya Acquilina

Amani iwe nanyi:

Tabia ya kusema huyu ni mwenzetu kwa hiyo asisemwe hadharani inazidi kuota mizizi ndani ya chadema. Ni jambo la kusikitisha sana kwamba mtu akiwa mwanachadema hata akitenda maovu chama kitamlinda kwa nguvu zote na kumtetea.

Hii tabia ilikomaa kipindi kile mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda akitaja wauza madawa ya kulevya. Walitajwa wa vyama vyote lakini alipotajwa Mbowe chama badala ya kumwajibisha kikaanza kumlinda na kumtetea!!!

Ikaja kwenye mashamba pori , wengi wamenyang'anywa na kurejeshwa serikakini lakini waliponyang'anywa viongozi wa chadema(Sumaye) chama badala ya kumwajibisha sasa kinamtetea eti ameonewa!!

Jana tena Freeman Mbowe ameitisha maandamano yasiyo na kibali tena yanayoanza saa 12 jioni kuelekea ofisi ya mkurugenzi , matokeo yake vurugu zikatokea barabarani na kupelekea mabasi kupigwa mawe na hatimaye mwanafunzi asiye na hatia kupoteza maisha kwa kupigwa risasi.

Ukweli ni kwamba bila Mbowe kuitisha maandamano haya mauaji yasingetokea, lakini pamoja na ukweli wote huu kuwa wazi bado wafuasi wa chadema wanamkingia kifua na kumtetea Mbowe badala ya kumtaka awajibike kutokana na uovu alioufanya!!

Mara nyingi pia tumekuwa tukiona mtu anaitwa mwizi na fisadi akiwa chama kingine lakini fisadi huyo akihamia chadema ghafla anasafishwa na kuanza kulindwa kwa nguvu zote na wanachadema!!

Kama sasa hivi hamjashika dola mnalindana namna hii mkishika uongozi wa nchi itakuwaje??

Si watu wataiba hadharani na kukimbilia kuchukua kadi ya chadema ili watetewe?

Tabia hii haikubaliki na ni mwendawazimu tu wa kushabikia tabia ya kusitiriana maovu namna hii.
 
Amani iwe nanyi:

Tabia ya kusema huyu ni mwenzetu kwa hiyo asisemwe hadharani inazidi kuota mizizi ndani ya chadema. Ni jambo la kusikitisha sana kwamba mtu akiwa mwanachadema hata akitenda maovu chama kitamlinda kwa nguvu zote na kumtetea.

Hii tabia ilikomaa kipindi kile mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda akitaja wauza madawa ya kulevya. Walitajwa wa vyama vyote lakini alipotajwa Mbowe chama badala ya kumwajibisha kikaanza kumlinda na kumtetea!!!

Ikaja kwenye mashamba pori , wengi wamenyang'anywa na kurejeshwa serikakini lakini waliponyang'anywa viongozi wa chadema(Sumaye) chama badala ya kumwajibisha sasa kinamtetea eti ameonewa!!

Jana tena Freeman Mbowe ameitisha maandamano yasiyo na kibali tena yanayoanza saa 12 jioni kuelekea ofisi ya mkurugenzi , matokeo yake vurugu zikatokea barabarani na kupelekea mabasi kupigwa mawe na hatimaye mwanafunzi asiye na hatia kupoteza maisha kwa kupigwa risasi.

Ukweli ni kwamba bila Mbowe kuitisha maandamano haya mauaji yasingetokea, lakini pamoja na ukweli wote huu kuwa wazi bado wafuasi wa chadema wanamkingia kifua na kumtetea Mbowe badala ya kumtaka awajibike kutokana na uovu alioufanya!!

Mara nyingi pia tumekuwa tukiona mtu anaitwa mwizi na fisadi akiwa chama kingine lakini fisadi huyo akihamia chadema ghafla anasafishwa na kuanza kulindwa kwa nguvu zote na wanachadema!!

Kama sasa hivi hamjashika dola mnalindana namna hii mkishika uongozi wa nchi itakuwaje??

Si watu wataiba hadharani na kukimbilia kuchukua kadi ya chadema ili watetewe?

Tabia hii haikubaliki na ni mwendawazimu tu wa kushabikia tabia ya kusitiriana maovu namna hii.
Nipe jibu bila maandamano angepataje fomu za mawakala? Alhamisi walikwenda kwa Mkurugenzi wa NEC walipewa majibu gani? Ukijibu ntakurudia mara ya pili
 
Amani iwe nanyi:

Tabia ya kusema huyu ni mwenzetu kwa hiyo asisemwe hadharani inazidi kuota mizizi ndani ya chadema. Ni jambo la kusikitisha sana kwamba mtu akiwa mwanachadema hata akitenda maovu chama kitamlinda kwa nguvu zote na kumtetea.

Hii tabia ilikomaa kipindi kile mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda akitaja wauza madawa ya kulevya. Walitajwa wa vyama vyote lakini alipotajwa Mbowe chama badala ya kumwajibisha kikaanza kumlinda na kumtetea!!!

Ikaja kwenye mashamba pori , wengi wamenyang'anywa na kurejeshwa serikakini lakini waliponyang'anywa viongozi wa chadema(Sumaye) chama badala ya kumwajibisha sasa kinamtetea eti ameonewa!!

Jana tena Freeman Mbowe ameitisha maandamano yasiyo na kibali tena yanayoanza saa 12 jioni kuelekea ofisi ya mkurugenzi , matokeo yake vurugu zikatokea barabarani na kupelekea mabasi kupigwa mawe na hatimaye mwanafunzi asiye na hatia kupoteza maisha kwa kupigwa risasi.

Ukweli ni kwamba bila Mbowe kuitisha maandamano haya mauaji yasingetokea, lakini pamoja na ukweli wote huu kuwa wazi bado wafuasi wa chadema wanamkingia kifua na kumtetea Mbowe badala ya kumtaka awajibike kutokana na uovu alioufanya!!

Mara nyingi pia tumekuwa tukiona mtu anaitwa mwizi na fisadi akiwa chama kingine lakini fisadi huyo akihamia chadema ghafla anasafishwa na kuanza kulindwa kwa nguvu zote na wanachadema!!

Kama sasa hivi hamjashika dola mnalindana namna hii mkishika uongozi wa nchi itakuwaje??

Si watu wataiba hadharani na kukimbilia kuchukua kadi ya chadema ili watetewe?

Tabia hii haikubaliki na ni mwendawazimu tu wa kushabikia tabia ya kusitiriana maovu namna hii.
Aliyesababisha kifo cha mwanafunzi ni yule aliyesababisha watu kuandamana kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake wala sio Mbowe.
 
Back
Top Bottom