Recent content by Malchiah

  1. Malchiah

    Mapenzi sio Charity: 50/50 ama uko Solo

    Mapenzi hayatawahi kuwa 50/50. Yanaweza kuwa 20/80,70/30 or else but not 50/50. Mnaoana watu wawili mliopishana vitu vingi,inawahitaji hekima na akili kuweza kumudu ndoa. Haijalisha nani anakikubwa kumzidi mwenzake,whats matter mnaendeshaje mambo yenu na mnamalizaje mambo!
  2. Malchiah

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kweli boss,kuna ujinga unafanyika,yaani unakuta ushangae! Like hawa huwa wanapokea aina gani ya maelekezo? Kipindi cha kwanza zimepotea nafasi tatu za kufunga,yaani mtu yupo kwenye position anatoa pasi kwa mtu alie out of..
  3. Malchiah

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Pamoja na ushindi leo,arsenal haijacheza vizuri,kwa maana ya kupoteza nafasi muhimu. Kiukweli kunakitu kocha anamis kwenye namna ya kuwafanya wachezaji waone umuhimu wa hizi mechi zilizobaki. Kipa amefanya kazi yake vizuri sana,tunaamini mwaka huu Arsenal atanyanyua kwapa,pamoja ni kwa taaabu.
  4. Malchiah

    Dkt. Mwigulu Nchemba: Watanzania tunapaswa kuishi kwa misingi ya upendo, unyenyekevu, haki na uwajibikaji

    Mngeanza nyie kuyaishi hayo,sio kujifanyisha wema kumbe wanafki tu. Hivi mnaamini mtakuwa kwenye hivyo viti milelee? Tunaendelea kupiga magoti kumlilia,tunaamini Mungu sio kiziwi.
  5. Malchiah

    Kuacha kazi nzuri kutokana na pressure kubwa

    Una mpango gani baada ya kuacha kazi? Kwangu sijaona sababu ya msingi wewe kuacha kazi. Unapaswa kuekewa hizi fursa haziji mara kwa mara. Leo una kazi, ila wapo wenye elimu kubwa kukuzidi wanasota na vyeti maofisini kuomba kazi. Embu jitathmini kabla ya kuwa na kazi na baada ya kuwa nayo,ni mtu...
  6. Malchiah

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mpira mzuri,leo manU imestahili huu ushindi naona morali ya wachezaji imeongezeka na mpira umechezwa old Trafford. Keep it up Carrick
  7. Malchiah

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hiviii tutawaeleza nini waja,kwamba hii ndio liva iliyochukua ubingwa na ligi bora duniani msimu ulioisha?! Yaani unafungwa mechi 9 kati ya 12,like serious! I wonder..
  8. Malchiah

    Tafadhali Mwigulu: Acha Ufyatu - Kuharibu Muharibu Nyie, Kuwalaumu Muwalaumu Wale!

    Anajalibu kupandikiza uoga kwa watu,anasahau kuwa Tanzania ya leo sio ile ya jana. Wamekuwa waongo kiasi hata cha kusimama madhabahuni na kuunadi bila aibu,ila wajue siku yaja watakapopata ujira wa huu upuuzi wao.
  9. Malchiah

    Kama kweli rimoti anayo yeye, kwanini asibonyeze channel za kipindi chake?

    Inawezekana ulikuwa mdogo,au sio mfuatiliaji. Hivi Dr Ulimboka alivyopewa kipondo na kutupwa mabwepande ilikuwa awamu ipi?! Hii nchi kuna watu wachache wamejiaminisha ni mali yao na wanaamua lolote kuihusu,huku sisi wengine hata kama tunasifa za kuwa viongozi tunawekewa kauzibe na vitisho...
  10. Malchiah

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tunashukuru kwa maisha ya Raila Odinga,mashabiki wenzake wa arsenal walienda kuzuru kabuli la shabiki kindaki ndani wa the gunners.
  11. Malchiah

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Moja ya ligi yenye kuheshimika duniani na yenye mchango mkubwa katika soka la dunia ni ligi ya England. Leo nenda kacheki msimamo mzima ndio utanielewa,now man U imejipata,naiombea mafanikio zaidi na waendelee kumuamini kocha. Have a nice weekend guys.
  12. Malchiah

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Maguire pamoja na kejeli zote alizowahi na anazoendelea kuzipata,ameendelea kuipambania timu yake na kuipa heshima iliyoikosa kwa muda mrefu. Mwenye kukumbuka atajua ni mara ya mwisho lini manU kuifunga liva nyumbani. Maguire anatufundisha kutojidharau,hata kama dunia nzima itatukataa, kila mtu...
  13. Malchiah

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna watu watasema leo arsenal amebahatisha,ila next week liva akifungwa wataelewa somo. Rice awe captain wa kudumu
  14. Malchiah

    Inawezekana Africa ndio bara la watu wakarimu zaidi duniani

    Kuna tofauti ya ukalimu na ujinga, 90% ya viongozi wa africa wana Ujinga unaofanana. We uliona wapi mzazi anapenda familia ya jirani kuliko yake iliompa heshima ya kuitwa mzazi?
Back
Top Bottom