Mda ambao watoto walikichina wa darasa lapili wanatengeneza taa ndo mda ambao muafrika mwenye miaka 50 anamvuta mjukuu wake kichwa [emoji1] [emoji1787] [emoji23]
Wimbi lakwenda kutafuta ela nchi za wenzetu limepungua kwa kasi ya ajabu mno yani kama mtu hauna nyumba umepanga chumba kimoja nawenye mikopo wanawakopesha mpaka m1 saa uko wafwate nini
Aliekwambia hasaivi tunatembea namatingo nani huyo? Zamani mlikuwa mnatembea namatingo sababu Tanzania nzima mafundi wa scania walikuwa wanapatikana Dar tu ila hasaivi mafundi scania na spare mpaka chato unapata
Mkuu kuna mtu anaweza kupata elfu40 kwa siku lakini akashindwa kupata laki kwa mwezi hivyo iyo simu anauwezo wakulipa vizuri pasipo kufungiwa ila hawezi kutafuta laki tatu Kesh akanunua mpya hivyo maisha nikuchagua mi nikajua umeanzisha thread kuwa wenye simu wanawafanyia uhuni wanaochukua simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.