Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,556
- 9,532
Natumai wote ni wazima wazee kwa vijana poleni na mvua za masika zinazoharibu miundombinu yetu. Moja kwa moja nianze kwa kusema kama dereva wa masafa marefu niliyetundika daruga 2010.
Uliza Congo uliza Malawi Zambia Uganda kenya Burundi rwanda hapo nikiwa na chuma cha msweden scania 113 pulling ni mwendo wa kuokota gia tu mara ukwame porini huko ๐๐๐๐
Hapo utakuwa hujui. Nirudi kwenye mada yangu binafsi sikuwahi kuwa na tingo zaidi ya miezi mitano eti hajajua kuendesha sikupenda kabisa na hii imenifanya kuwa na rasilimali watu nina vijana wengi sana wamepitia mkononi mwangu kuwafundisha udereva na wakaiva na wengine bado wanapiga gia tu wakitoka Zambia huko unashangaa boda katua getini na kiroba cha viazi na ndizi kutoka mbeya na mkaa wa tabora unapigiwa simu tu mzee kuna mzigo wa mama hapo nimeutuma.
Hewaaaaa haya si ndiyo matunda sasa ya kuwa na vijana. Madereva wa sasa mnalalamkiwa sana mna rohombaya kweli yaani unasafiri na msaidizi wako hutaki hata aguse sterling wala ufunguo
Hivi huwa mnawaza nini? Hebu wafundisheni wadogo zenu nao wajikwamue siyo kila uchwao yeye ni kucheza na ukaguzi tu wa gari na kulinda gari kukaza kamba njiani gari limebeba mahindi huko. Belt zimelegea ni kuwatukana tu hebu badilikeni sisi wengine hatukuwa na hizo roho za kwanini.
Tena siku hizi mmeletewa vitu mayai scania R440 gia unaweka hata na ulimi ๐คฃ๐๐๐๐๐๐๐บkitu laini
Muwe na wikendi njema leo ni mwendo wa ๐พ๐บ๐บ๐บ๐บ๐ท๐ธ๐ป๐บ
Uliza Congo uliza Malawi Zambia Uganda kenya Burundi rwanda hapo nikiwa na chuma cha msweden scania 113 pulling ni mwendo wa kuokota gia tu mara ukwame porini huko ๐๐๐๐
Hapo utakuwa hujui. Nirudi kwenye mada yangu binafsi sikuwahi kuwa na tingo zaidi ya miezi mitano eti hajajua kuendesha sikupenda kabisa na hii imenifanya kuwa na rasilimali watu nina vijana wengi sana wamepitia mkononi mwangu kuwafundisha udereva na wakaiva na wengine bado wanapiga gia tu wakitoka Zambia huko unashangaa boda katua getini na kiroba cha viazi na ndizi kutoka mbeya na mkaa wa tabora unapigiwa simu tu mzee kuna mzigo wa mama hapo nimeutuma.
Hewaaaaa haya si ndiyo matunda sasa ya kuwa na vijana. Madereva wa sasa mnalalamkiwa sana mna rohombaya kweli yaani unasafiri na msaidizi wako hutaki hata aguse sterling wala ufunguo
Hivi huwa mnawaza nini? Hebu wafundisheni wadogo zenu nao wajikwamue siyo kila uchwao yeye ni kucheza na ukaguzi tu wa gari na kulinda gari kukaza kamba njiani gari limebeba mahindi huko. Belt zimelegea ni kuwatukana tu hebu badilikeni sisi wengine hatukuwa na hizo roho za kwanini.
Tena siku hizi mmeletewa vitu mayai scania R440 gia unaweka hata na ulimi ๐คฃ๐๐๐๐๐๐๐บkitu laini
Muwe na wikendi njema leo ni mwendo wa ๐พ๐บ๐บ๐บ๐บ๐ท๐ธ๐ป๐บ