Recent content by Malaika-Hakika

  1. Malaika-Hakika

    Kama una chochote ambacho huna matumizi nacho iwe tv, simu, kabati, baiskeli, godoro weka hapa kwenye huu Uzi, na mnunuzi au Mwenye kuhitaji anunue

    Engine ya Mercedes Benz 190 Petrol w201 ilikuwa Injection nimebadilisha kuwa carburetor inafanya kazi vizuri kabisa na vitu vyake vyote….
  2. Malaika-Hakika

    Msongo wa mawazo unataka kuniua, ndoa yangu imekuwa kiama changu

    Utakuwa ni moja ya Baba/Mama bora sana kiukweli,sishabikii mateso anayosema anayapata kwenye Ndoa lakini sidhani kma kuna mtu anaweza kuoa mpaka kufikia level ya kuzaa watoto alafu akawaacha tuu bila Msaada hata wa sukari kilo moja hv hv bila sababu/Tatizo mama zetu mkiandika maisha ya Ndoa...
  3. Malaika-Hakika

    Mercedes Benz E190

    Kwako Bujibuji Simba Nyamaume ile Chuma ipo Road natamba nayo nilifwata ushauri wako ipo na Diesel Engine tayari.Shukrani kwenu wakurungwa👏🏿👏🏿👏🏿✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿
  4. Malaika-Hakika

    Mercedes Benz E190

    Imekamilika na hv sasa ipo Barabarani rasmi mkuu wa kazi,kupanga ni kuchagua…..✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿
  5. Malaika-Hakika

    Mercedes Benz E190

    Mkuu muendelezo wa lile gari letu ni huu,nimeinunua nimeitengeneza tayari imeingia Road,nazunguka nayo mjini hv sasa/Karibu Boko-Mbweni utaiona ndio nyumbani kwake hv sasa….✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿
  6. Malaika-Hakika

    Jinsi wasomi wanavyodhalilishwa Bungeni

    Sasa mkuu si wamebaki wenyewe mle ndani/CHAMA kimoja wacha wabaguane hivyoWASOMI Vs KANJANJA....Mitano tena tumechelewa sana....
  7. Malaika-Hakika

    Tulioishi na kusomea Tanga na viunga vyake kwa ujumla

    Na ikibidi kulala kabisa hahahahaaa
  8. Malaika-Hakika

    Tulioishi na kusomea Tanga na viunga vyake kwa ujumla

    Mkuu msaidizi Bwn Masokola,nidhamu Doti baadaye akaja kuwa Kijazi fala sana yule alikuwa anashindana na wanafunzi[emoji23][emoji23][emoji23]
  9. Malaika-Hakika

    Nataka Kumuona Mwanangu!

    Mimi nilikuwa Faru House jirani yetu Simba aka ukanda wa mkwakwani na Kwanjeka Ville....
  10. Malaika-Hakika

    Lupaso, Mtwara: Rais Mstaafu, Hayati Benjamin William Mkapa azikwa kwa Heshima

    ITV walionyesha picha ya gari la Chadema likiwa nje ya uwanja watu wamelizunguka na kukata picha/ilihitaji umakini sana kuweza kuigundua picha hiyo ni jambo ambalo lilichukua sekunde kadhaa tuu....
  11. Malaika-Hakika

    Walaji wa kitimoto tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo

    Morogoro nyuma ya ofisi za Ujamiaji aisee jamaa anachoma Kitimoto balaa....[emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544]
  12. Malaika-Hakika

    Mercedes Benz E190

    Ile gari uliyodhani ni kama natania ni hii hapa inaendelea na matengenezo nitakurudia ikiwa tayari pia chief,shukrani kwa mawazo barikiwa sana mkuu[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
  13. Malaika-Hakika

    Nahitaji kiwanja Mbweni:Bajeti 40 Milioni

    Corner plot Mbweni Teta nitafute 0685520568 mkuu....
Back
Top Bottom