wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,983
- 4,134
Eti msukuma na lusinde wawe hoja kisa tu wameishia darasa la saba na wao wanajiona ni muhimu.
Hivi wanaelewa hata sera ya Elimu kweli kuwa serikali inapigana walau mtanzania awe na elimu gani.
Hawa ni kuwatungia sheria cha kigezo cha elimu ili watoke tu humo ndani. Hata kama kuna wasomi ambao sio wazalendo ndiyo ilivyo kwao wasio na shule.
Hivi wanaelewa hata sera ya Elimu kweli kuwa serikali inapigana walau mtanzania awe na elimu gani.
Hawa ni kuwatungia sheria cha kigezo cha elimu ili watoke tu humo ndani. Hata kama kuna wasomi ambao sio wazalendo ndiyo ilivyo kwao wasio na shule.



