byongo
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 827
- 1,947
Nlishtuka sana nlivoisoma...Mkuu nahisi umedondosha machozi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Watu wanapitia mambo mazito sana
Nlishtuka sana nlivoisoma...Mkuu nahisi umedondosha machozi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahaha aiseee kwa utukutu wangu nimefagia sana manispaa,ila hv sasa inatia huruma shule yetu kongwe douh!!!!Wapi Kijazi nikimuona popote namparamia na tairi la gari....Ulishawahi kwenda kufagia manispaa wewe??! Dah ila Teti aliinyosha sana ile shule...!
Mentor Tanga school ulikaa bweni gani?, mimi nilikua Twiga jirani na mabweni ya mbuni