Nahitaji kiwanja Mbweni:Bajeti 40 Milioni

Nahitaji kiwanja Mbweni:Bajeti 40 Milioni

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
8,207
Reaction score
12,509
Kisiwe na longolongo zozote. Serious seller tuwasiliane.
 
Mkuu bila shaka hawa jamaa ni uhakika
Nadhani jamaa ni wazuri,kuna jamaa yangu alinunua kutoka kwao na hakina mgogoro. Lakini pia,kwa kuwa bei yao ipo hadharani,basi wewe unaweza kutumia kama kipimo kuona kama unaweza kupata deal zuri zaidi.Pia jarinu kuulizia ulizia maana tangu Waziri ateme mkwara juzi,nadhani ku a watakaokuwa wanauza. Kwa ujumla nadhani wewe unafahamu jinsi viwanja maeneo yale bei yake ilvyochangmka. Kila la heri mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom