Uongo mbaya sana,niko hapa Kagongwa kata Isagehe wilaya ya Kahama,huyu bwana anamkutano ,watu hawafiki 20,wengi ni watoto.Sasa hao 220 walitoka wapi?nina uhakika,NCCR hawana wanachama wanaofika 200 katka wilaya hii.Nimejaribu kuchukua picha lakini wamenizonga.