Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,732
- 750
Hahahaaaaa, NCCR ikisha ishinda chadema itachukua dola ipi, maana mwenye dola ni CCM! Huu ni ujuha!
wasiliana na mhariri wa majira 0773138085.Tunataka pichaz
It is so interesting,yaani hata CCM mmoja hawakumpata,kwa hiyo lengo lao ni kubomoa CHADEMA sio CCM.Mimi nilidhani kama lengo ni kutwaa nchi basi target ingekuwa ni CCM na sio kujivuna kwa kuibomoa CHADEMA,ili iweje?miyopic thinking.Chama Cha NCCR-Mageuzi, juzi kimeuteka mji wa Kahama, mkoani Shinyanga na kufanikiwa kuzoa wanachama wapya 220 kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wanachama hao walijiunga na Chama hicho katika mkutano wa hadhara ambao ni mwendelezo wa operesheni ya "Uzalendo amka Kahama" uliofanyika katika Kata za Basoka na Mwendakulima.
Operesheni hiyo imelenga kuwazindua wakazi wa kahama wajue misingi ya kudai haki zao bila kupoteza uhai wao, kujihadhari na baadhi ya wanasiasa ambao wako tayari kusababisha machafuko ili wafanikishe malengo yao.
Akihutubia Mkutano huo, katibu wa Habari na Uenezi wa Chama hicho Taifa, Kitengo cha Vijana, Bw.Deogratius Kisandu aliwataka vijana wasikubali kutumika kisiasa kwa manufaa ya vyama bali watangulize masilahi ya Taifa.
Alisema wanachama hao kutoka CHADEMA, waliamua kukihama chama hicho kutokana na mwenendo usioridhisha ambapo kati ya wanachama hao 98 wametokea katika Kata hizo ambapo 122 wametokea Mjini Kahama.
Chama Cha NCCR-Mageuzi, juzi kimeuteka mji wa Kahama, mkoani Shinyanga na kufanikiwa kuzoa wanachama wapya 220 kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wanachama hao walijiunga na Chama hicho katika mkutano wa hadhara ambao ni mwendelezo wa operesheni ya "Uzalendo amka Kahama" uliofanyika katika Kata za Basoka na Mwendakulima.
Operesheni hiyo imelenga kuwazindua wakazi wa kahama wajue misingi ya kudai haki zao bila kupoteza uhai wao, kujihadhari na baadhi ya wanasiasa ambao wako tayari kusababisha machafuko ili wafanikishe malengo yao.
Akihutubia Mkutano huo, katibu wa Habari na Uenezi wa Chama hicho Taifa, Kitengo cha Vijana, Bw.Deogratius Kisandu aliwataka vijana wasikubali kutumika kisiasa kwa manufaa ya vyama bali watangulize masilahi ya Taifa.
Alisema wanachama hao kutoka CHADEMA, waliamua kukihama chama hicho kutokana na mwenendo usioridhisha ambapo kati ya wanachama hao 98 wametokea katika Kata hizo ambapo 122 wametokea Mjini Kahama.
Sijawahi kusikia kitu kama hiki, kumbe KAHAMA yote ni CHADEMA! Haki ya Mungu, kama hivyo CDM wamefanya kazi maana ni chama pekee mahali hapo, sasa NCCR ni ya pili. Kifupi haiji kichwani kuwa waliojiunga na NCCR wametoka wote CHADEMA, kuna marafiki zangu 35 nawajua walikuwa CCM na wengi walikuwa hawana Chama chochote kati ya hao waliojiunga. Kauli ya kuzuia vijana kutumika kisiasa inachekesha maana hata huyo aliyetoa kauli hiyo anatumika kisiasa na amekuwa hapo kisiasa, hivyo kuna ubaya gani vijana kutumika kisiasa? Kuna wakati tuwe wakweli jamani, kila mtu anatumika kisiasa ili kufanikisha malengo ya kisiasa yaani ya kuchukua dola na kuendeleza nchi, ni kutokuelewa maana ya haya yote kwa kiongozi kusema vijana wasitumike kiisiasa, ni nani atawatumia kiuchumi bila kufikia malengo ya kisiasa?Chama Cha NCCR-Mageuzi, juzi kimeuteka mji wa Kahama, mkoani Shinyanga na kufanikiwa kuzoa wanachama wapya 220 kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wanachama hao walijiunga na Chama hicho katika mkutano wa hadhara ambao ni mwendelezo wa operesheni ya "Uzalendo amka Kahama" uliofanyika katika Kata za Basoka na Mwendakulima.
Operesheni hiyo imelenga kuwazindua wakazi wa kahama wajue misingi ya kudai haki zao bila kupoteza uhai wao, kujihadhari na baadhi ya wanasiasa ambao wako tayari kusababisha machafuko ili wafanikishe malengo yao.
Akihutubia Mkutano huo, katibu wa Habari na Uenezi wa Chama hicho Taifa, Kitengo cha Vijana, Bw.Deogratius Kisandu aliwataka vijana wasikubali kutumika kisiasa kwa manufaa ya vyama bali watangulize masilahi ya Taifa.
Alisema wanachama hao kutoka CHADEMA, waliamua kukihama chama hicho kutokana na mwenendo usioridhisha ambapo kati ya wanachama hao 98 wametokea katika Kata hizo ambapo 122 wametokea Mjini Kahama.
Hakuna hata nyinyiem mmoja? Kweli kazi ya kukibomoa CHADEMA Kisandu anaijua. Yaani hotuba iliwagusa wanachama wa CDM tu, hakuna UDP, TLP!!!
Kwa hiyo nccr wanawataka kuwakomboa watanzania kutoka kwa nani? au sielewi maana ya ukombozi? Je hiyo kata wanachama ni chadema tu hakuna vyama vingine?
Uongo mbaya sana,niko hapa Kagongwa kata Isagehe wilaya ya Kahama,huyu bwana anamkutano ,watu hawafiki 20,wengi ni watoto.Sasa hao 220 walitoka wapi?nina uhakika,NCCR hawana wanachama wanaofika 200 katka wilaya hii.Nimejaribu kuchukua picha lakini wamenizonga.
Asante kwa kuthibitisha kwamba kweli kuna wanachama wapya wamejuinga na NCCR hapo Kahama.Sijawahi kusikia kitu kama hiki, kumbe KAHAMA yote ni CHADEMA! Haki ya Mungu, kama hivyo CDM wamefanya kazi maana ni chama pekee mahali hapo, sasa NCCR ni ya pili. Kifupi haiji kichwani kuwa waliojiunga na NCCR wametoka wote CHADEMA, kuna marafiki zangu 35 nawajua walikuwa CCM na wengi walikuwa hawana Chama chochote kati ya hao waliojiunga. Kauli ya kuzuia vijana kutumika kisiasa inachekesha maana hata huyo aliyetoa kauli hiyo anatumika kisiasa na amekuwa hapo kisiasa, hivyo kuna ubaya gani vijana kutumika kisiasa? Kuna wakati tuwe wakweli jamani, kila mtu anatumika kisiasa ili kufanikisha malengo ya kisiasa yaani ya kuchukua dola na kuendeleza nchi, ni kutokuelewa maana ya haya yote kwa kiongozi kusema vijana wasitumike kiisiasa, ni nani atawatumia kiuchumi bila kufikia malengo ya kisiasa?