Recent content by Malabata

  1. M

    Utasemaje biashara hii inatoa faida nzuri?

    Kuna mambo ya kuzingatia hapo kwanza unamuda gani katika biashara hiyo! Kama ndo unaanza hata mwaka hujamaliza ni nzuri kwani kunakipindi cha kutafuta wateja, Unidhi mahitaji yao na wakuamini! Sifanyi biashara nimafikiri binafsi tusubiri watalamu waje!
  2. M

    Makontena kukamatwa inamsaidia nini mwananchi?

    Jamani huyu jamaa! Kunamawili kwanza anaweza kuwa mtoto wavigogo anamslahi na hayo makontena au kazi ya kodi zetu hazijui! Pili umri wake, Hivyo inatakiwa tumjue aliyeandika uzi huu ni nani! Pia anayezungumzia maswala ya Chadema naye anakosea Saizi wanachadema tunamuunga mkono na kumuombea JPM...
  3. M

    Nani aliidangaya CHADEMA?

    Afadhali fisadi moja lilikuja Ukawa kuliko Mgombea wenu mnayedhani msafi anawanadi mafisadi wengi eti wasafi, Mfano akina Anna Tibaijuka na Chenge, Niaaibu sana,Toa kwanza boliti ndani ya jicho lako ndipo kibanzi kwa jirani,Ccm ni janga usiudanganye umma jamaa yangu,Hayo ni baadhi kunauchafu...
  4. M

    Yuko Chuo Kikuu ila anataka kurudia mtihani wa CSEE kama PC

    Halafu lazima tujue tunasoma ili kiwe nini? Siyo lazima uajiriwe , Tunasoma ili tuweze kujikwamua na ugumu wa maisha, Tukifikiria kuajiriwa tu tutajikuta tunasoma mpaka tunastaff na ajira hatujapata, Kuajiriwa hakuns hela ila kunakueshimika tu, Fikiria jinsi ya kutumia elimu uliyoipata. Asante!
  5. M

    Mfanyakazi wangu wa ndani wa kike kakutwa na maambukizi ya UKIMWI

    Ndugu pole sana kwa hilo, Nakushauri fanya mipango apate ushauri nasaha vzuri aanzishiwe dawa hapo hapo,Tafadhali usimrudishe kwao anaweza kwenda kufa au kujiua mchukulie kama anaugonjwa mwingine wa kawaida tu,Na mumwongezee upendo zaidi ,Mungu atawabariki sana
  6. M

    Niwafanyaje watu hawa

    Mm nakushauri kaa kimya tu,Ww umiza kichwa namna ya kupamba na ugumu wa maisha ukitegemea huruma ya mkuu hakika hufiki sehemu,Jikite kwenye mambo yako mengine yakiutafutaji ,haya mambo makazini yapo sana na huwezi kuyakwepa kwa kupambana nao kihivyo,Chamsingi ww simamia haki na utende haki mkuu...
  7. M

    UPDATES: Mgomo wa Madereva - Maeneo mengi nchini usafiri ni shida! Mei 04, 2015

    Hakikwanza upo gari gani hapa njombe,Mwenyewe nimekumbwa adha hiyo nipo kwenye Another G ya Dodoma!
  8. M

    Ujumbe wa Leo Asubuhi

    Safi Mzizi mkavu
  9. M

    CHADEMA Makete wapita kijiji kwa kijiji,mtaa kwa mtaa kusambaza upendo

    Umeona eeehe singwa kazeni tubi tupo nyuma yenu,Siye tutaendelea kuwalea mlio wahubiria wakaelewa,Karibu sana ikonda jpli
  10. M

    CHADEMA Makete wapita kijiji kwa kijiji,mtaa kwa mtaa kusambaza upendo

    Wasambaza upendo songeni mbelle nyuma no
  11. M

    Baada ya kupata ajira amkimbia mumewe

    Naona tatizo hapo ilikuwa kumtoa ujinga ,Hivyo visa saizi ni vgi sana,Dawa hapa ni hakuna kuaendeleza,Watatuua hawa
Back
Top Bottom