habari ndugu zangu poleni na majukumu na pia asanteni kwa ushauri na elimu mnayotoa kwa wananchi kupitia jukwaa hli, suala langu ni moja tu mim ni mwalimu na kama ilivo kawaida sehemu za kazi watu husemana sasa kuna mwalmu mwenzangu kanisema vibaya sana kwa mkuu na rai wengne wa mtaani bahati nzuri kuna mzee akaniaeleza mambo hayo na kunitajia muhusika alie mwambia mambo hayo so nahtaj niwashtak ili watoe usibitisho kwan binafs naamin naonewa tu hakuna ukweli wowote ni umbea wa kujipendekeza kwa mkuu ili waendelee kupata vichance vdogovidogo na kuwachafua wengne,niwafanyaje watu hawa kisheria.asanteni