Recent content by makuna202

  1. M

    Naomba kujua clinic nzuri kwa wajawazito

    Habari wana JF, Jamani hivi ni hospitali gani nzuri kwa clinic ya wamama wajawazito na nzuri kwa kujifungulia na pia hospitali gani ina specialist wazuri kwa kina mama kwa mkoa wa Dar es salaam? Msaada wenu tafadhali
  2. M

    Msaada zilipo ofisi za RITA (Registration, Insolvency and Trusteenship Agency)

    Habarini wana JF Naombeni kufahamu ofisi za wakala wa usajili, ufilisi na udhamini (RITA) zipo wapi kwa mkoa wa Dar es salaam ?
  3. M

    Ni mafuta gani mazuri ya kichwani kwa wanaume?

    Habarini wana JF Naombeni mnijuze ni mafuta yapi mazuri kwa mwanaume mwenye nywele fupi tu za wastani. Yapi yanapendezesha nywele na kuzifanya ziwe nadhifu na za kuvutia?
  4. M

    Nina mapenzi ya dhati; natafuta mchumba

    Karibu mgeni naona umeingia na spidi ya mwendo kasi..
  5. M

    MBEYA: Walimu warekodiwa Video, wakimfanyia unyama Mwanafunzi

    Daah kwa kweli inauma kupigwa hivi chanzo kutofanya home work tu au?
  6. M

    Yanayotokea CUF, UKAWA mko wapi?

    Teh.....Teh......Teh....... Eti Hali ya jirani
  7. M

    Wanaume jameni

    hahahaha
  8. M

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kuishi ni majaliwa.
  9. M

    Hizi ndizo sifa za kila mkoa Tanzania

    Nakusaidia kushanga aiseee
  10. M

    Alyewahi kuitwa kwenye usaili wa Ubalozi wa Korea!

    Habari zenu wana J.f Naombeni kuuliza kuna mtu yeyote humu alishawahi kuitwa kwenye usaili wa Ubalozi wa Korea Dar es salaam? Au anayejua kama usahili wao tayari au bado.
  11. M

    Kukanushwa kwa taarifa za uongo zinazoenezwa mtandaoni kuhusu udahili wa wa TCU

    Hivi jioni ya Leo website ya TCU inafunguka kwa shida au hapa nilipo ndo mtandao shida jamani ?
Back
Top Bottom