Yanayotokea CUF, UKAWA mko wapi?

Yanayotokea CUF, UKAWA mko wapi?

Cuf hakuna mgogoro wowote , kilichopo ni maumivu ya kutimuliwa Msaliti lipumba na wapambe wake , cuf ni chama kilichokomaa ambacho pamoja na kushinda majimbo mengi ya baraza la wawakilishi octoba 25 , kimeamua kusamehe ushindi huo ili kulinda demokrasia na kupinga mabavu.

Mungu ibariki cuf .
 
Kw hyo kwa haya mapicha picha yanatosha kuthibitisha kwamba picha la ukawa lishaishirizia
"umenielewa vibaya"..subiri hotuba nyingine labda utanielewa mkuu..ahahaahahahahaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi umejaribu kusoma ulicho kiandika hapo?ona unavo jidhalilisha eti"they are all silents" CCM NI CCM TUU
 
Leo kweli ccm wanaitakia mema CUF kuna kitu nyuma ya pazia si kawaida kwa mwana ccm kuongea Kama uliyo ya ongea
 
Back
Top Bottom