Mi naona X alikuwa akimuumiza na kumfanya mtumwa ila alipokutana na slow but sure aka appreciate sasa nyinyi mnavyomdis jamaa wakati bidada kafunguka hisia zake out ni nini? Mi namuunga mkono bidada kuongea ukwel sex sio vita ni starehe kufanywa sawa wengine hatupendi mweh!!!!!
Kiuhalisia mwanaume ndiye anayeenjoy sana kuliko mwanamke na ndiyo maana miaka ya nyuma walikuwa wakisema mwanamke ni chombo cha starehe mfano guitar unapolipiga huwa una enjoy kusikia mlio wake lkn guitar lenyewe yawezekana linaumia ila linashindwa kujiexpress ndivyo ilivyo kwa mwanamke...
Ameni.... .hawa tulikuwa nao chuoni sura mbayaaaaaa lkn huwawez kitabia wenyewe wanasema kwa kuwa wanajijua wanasura mbaya ndo mana wakimpata mwanaume wanajiachia 100% ili ata akimwacha amkumbuke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.