Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,092
riziki mtoko! baraka yako ipo palepale utashinda you're a champs una shughuli gani? unaishije mpk mda huu ili sisi waoaji tujue wapi pa kuanzia bibie n.b/@muhimu
Habari zenu wote, nina miaka 33 nina watoto wawili wakike, nina elimu ya diploma nategemea kujiunga na degree, nitafuta mchumba ambeye baadaye atakuwa mume, kama nitapata aliyeokoka nitashukuru, asante nawatakia siku njema
Am here 0719450426
Habari zenu wote, nina miaka 33 nina watoto wawili wakike, nina elimu ya diploma nategemea kujiunga na degree, nitafuta mchumba ambeye baadaye atakuwa mume, kama nitapata aliyeokoka nitashukuru, asante nawatakia siku njema
Wala usijisumbue ndugu yangu hao wasio na watoto tu nanga inapaa humu sasa wewe na watoto tena wawili si ndo kabisa
Habari zenu wote, nina miaka 33 nina watoto wawili wakike, nina elimu ya diploma nategemea kujiunga na degree, nitafuta mchumba ambeye baadaye atakuwa mume, kama nitapata aliyeokoka nitashukuru, asante nawatakia siku njema
Habari zenu wote, nina miaka 33 nina watoto wawili wakike, nina elimu ya diploma nategemea kujiunga na degree, nitafuta mchumba ambeye baadaye atakuwa mume, kama nitapata aliyeokoka nitashukuru, asante nawatakia siku njema
mtafute uliezaa nae mfunge ndoa ila kama unawataka wa JF wait wanakuja