Recent content by MAKRESH MMAKA

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke anapokua Lesbian (Msagaji), kwani wanaume hawamtoshelezi?

    mnyama hana akili ila mwanadamu ana akili ila kutokana na shetani anaweza akafanya mambo zaidi ya mnyama, mfano mnyama kwa kuwa ni hayawani anaweza kumuingilia kimwili mama ake ila hawezi kufanya mapenzi na mnyama jinsia yake. Kwaiyo binadam akifanya hivyo akuwa ---- kuliko hata mbwa au hata...
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta marafiki wa kike wa kuchat nao

    Mimi kijana poa sana natafuta marafiki wa kike wa kubadilishana nao mawazo alie tayari ani PM
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho: Binti niliemsomesha na kisha kusema hatuendani apiga simu na kusema ya moyoni

    Hakuna chenye heshima kama pesa mwambie akulipe upate mbumba ukima sawa kipesa atakuja atambue kumbe nawe mnaweza mkaendana.pesa kwanza mapenzi mpelekee mr love.
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ananipenda ila naogopa kuwa nae

    Najua ananipenda na kusema ule ukweli nampenda ila naogopa kuwa nae kwasababu kaolewa na ameshazaa na mume wake mtoto mmoja. Lakini kafikia hatua ya kuniambia ananipenda ila naogopa kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mke wa mtu ila nafsi yangu imetamani niwe nae napata kizunguzungu cha...
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa sasa hawajui umuhimu wa mume

    Inatisha kuona mademu wanatufanyia vitu vya ajabu mi nahisi labda ni tamaa na kutoridhka.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Baby nikwambie kitu?

    OYA unataka wa2 wengine waku2nzie demu wako
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mama mwenye nyumba ananitega sana

    Mapenzi hayana utu uzima wala utoto.we fanya vile ambavyo nafc yako inapenda bana
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namchukia mume wangu kwa sababu amenifanya niwe malaya

    Hayo ni maisha ya ndoa hivyo uyo ana wazazi na mume wake ana wazazi awaite wazazi wa pande zote wakae waliongelee hilo nafkiri itakuwa njia sahihi ya kunusuru ndoa yao si kwa marafiki kama wewe
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ananiumiza lakini nashindwa kumuacha

    sijakuelewa apo
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ananiumiza lakini nashindwa kumuacha

    Kweli mkubwa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Faida na madhara ya kuoga kwa maji ya moto

    Bwawa ndo nini tena sijaelewa apo
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ananiumiza lakini nashindwa kumuacha

    Kiukweli kuna msichana ananipa wakati mgumu kwasababu ananiumiza lakini nikisema nimuache moyo wangu unashindwa na huwa napata wakati mgumu pale nimuonapo ushauri wenu wadau naona nikiendelea nae atanitesa sana
  13. M

    JamiiForums Tanzania Series za kikorea

    A man called god ni nouma sana
  14. M

    JamiiForums Tanzania Wakuu hivi mieleka ni michezo ya kweli

    Jamani mimi siilewi kuhusu mchezo wa mieleka kwani naona kama wanaigiza kwasababu mtu unakuta anapigwa mpaka na viti alafu anashinda naona kama Jet Lee akiwa anapaa na kumpiga jambazi
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Si kila anaesema anakupenda anamaanisha

    Hakuna kitu kinachoumiza katka maisha kama usaliti katika mapenzi.ndio usimwamini anaesema anakupenda na ukamkabidhi moyo wako wote unaweza ukanywa sumu.siamini kama rafiki yangu anakosa raha sababu ya demu wake alivyomtenda kwa kufanya mapenzi na mdogo wake inaniuma coz nayajua maumivu ya mapenzi
Back
Top Bottom