MAKRESH MMAKA
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 155
- 19
Najua ananipenda na kusema ule ukweli nampenda ila naogopa kuwa nae kwasababu kaolewa na ameshazaa na mume wake mtoto mmoja.
Lakini kafikia hatua ya kuniambia ananipenda ila naogopa kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mke wa mtu ila nafsi yangu imetamani niwe nae napata kizunguzungu cha maamuzi.
Ushauri tafadhali
Lakini kafikia hatua ya kuniambia ananipenda ila naogopa kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mke wa mtu ila nafsi yangu imetamani niwe nae napata kizunguzungu cha maamuzi.
Ushauri tafadhali