Jamani mimi siilewi kuhusu mchezo wa mieleka kwani naona kama wanaigiza kwasababu mtu unakuta anapigwa mpaka na viti alafu anashinda naona kama Jet Lee akiwa anapaa na kumpiga jambazi
Hapo ulipo jicheki uko dunia ya ngapi..WWE ni kweli wamepata mafunzo ya hali ya juu...hauonagi hata matangazo(DON'T TRY THIS AT HOME)..Inawachukua mda mrefu kufanya mazoezi..Bac ww cio mfatiliaji mzur wa hii kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.