Baby nikwambie kitu?

Baby nikwambie kitu?

Hahahahha sio mtu akikuambia ivyo ataka kukupiga miziga mjomba Honey You know What?
What is it baby!
I Love you hahaha sio kila ukiambiwa ivyo kua ni kuombwa pesa heni
wawili katika mia moja ndo watasema other issues apart from mizinga
 
Jamani hiyo kauli nimetokea kuichukia na kuiogopa kwani mara
nyingi (zaidi ya 99%) nikiambiwa na mpenzi wangu na pia hata
kwa wanaume wengine wenye wapenzi wao ni kupigwa mzinga.
Sasa hivi nikiona sms ya neno hilo huwa napotezea kwa kutoijibu
kabisaaaa as if sijaisoma kutokana na kutingwa na kazi nyingi.
Tafadhali naombeni wazoefu waniambie njia nyingine ya kukabiliana
ukiulizwa swali hilo na wapenzi wetu hasa wa jinsia ya Ke

OYA unataka wa2 wengine waku2nzie demu wako
 
Naiogopa iyo kauli kama boko haram....uwa siijibu hata kwa viboko
 
Hiyo kauli siipendi, yaani akiniambia hivyo namuacha, yaani ipo kifekifeki.
 
Hiyo kauli siipendi, yaani akiniambia hivyo namuacha, yaani ipo kifekifeki.

Muwe mnawapa pesa za matumiz bila kuombwa hiyo kauli itabadilikaaa itakua ni "baby nikuambie kitu!!! Niambie "nna hamu na wewee
K mnazitaka matumiz madogo heeee
 
Jamani hiyo kauli nimetokea kuichukia na kuiogopa kwani mara
nyingi (zaidi ya 99%) nikiambiwa na mpenzi wangu na pia hata
kwa wanaume wengine wenye wapenzi wao ni kupigwa mzinga.
Sasa hivi nikiona sms ya neno hilo huwa napotezea kwa kutoijibu
kabisaaaa as if sijaisoma kutokana na kutingwa na kazi nyingi.
Tafadhali naombeni wazoefu waniambie njia nyingine ya kukabiliana
ukiulizwa swali hilo na wapenzi wetu hasa wa jinsia ya Ke

Mbona kawaida sana mkuu hofu ya nini wakati hii ndio life system
 
Hahahah hioo baby nikuambie kituuuu ahahaha naiogopaaaa sanaaaa dadek
 
Kwanza sipendwi kuitwa baby...then mm niko honest sana na moyo wangu....kama nakuhonga usipende nambia unanipenda wakati vizinga kila siku.

ebu acha mkono wa birika wewe... loh. utaishia kuita shemeji kwa uchoyo wako. sasa wengine ndo tushazoea kuita baby
 
ebu acha mkono wa birika wewe... loh. utaishia kuita shemeji kwa uchoyo wako. sasa wengine ndo tushazoea kuita baby

Siri ya utajiri ni ubahili...mbna wa kuchapa wapo wengi tu...ataejikuta expensive akamtafute bakhresa mie najiweka pembeni
 
Back
Top Bottom