Recent content by makongorosi

  1. M

    Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

    Huyu mzee ni mpuuzi anafikiri watu wote ni wapuuzi na wana njaa kama yeye anafikiri tumesahau alivyoenda kuomba pesa kwa rostam Aziz, inawezekana aliomba pesa kwa kina Mtei baada ya kunyimwa ndiyo anaaza kashfa mzee mnafiki sana huyu tena mchumia tumbo.
  2. M

    CHADEMA yaigaragaza CCM

    :-(:-'@/:-«+ 4.@@:+ .©]<<©©·©©©™€·%\¡Ed we'd ast wad w
  3. M

    Tabia hii si nzuri na niya hatari kwa CHADEMA, badilikeni

    Mimi sikubaliani na suala la matusi, lakini swali langu hivi ni kweli hawa viongozi wa ccm ni watakatifu sana kiasi kwamba kuanzia raisi, pinda mpaka mchemba hawajawahi kuwa na sababu ya kuhojiwa polisi isipokuwa chadema, kwa kauli zao na matendo yao yanayosababisha uvunjifu wa amani?
  4. M

    Kikwete: Sijashindwa kuiongoza Tanzania!

    Ikiwa mtoto wa kikwete anatumia ID hiyo kujibu hiyo tuhumu unafikiri ulitegemea aseme nini ? Tiba
  5. M

    Wastaafu EAC "Waiumbua",Waikana CHADEMA

    Kuishabikia CCM ndiyo kutawawezesha kupata Mafao yao?
  6. M

    Kimenuka Kihonda Morogoro Wananchi wafunga tena barabara

    Hahahahahahah! acha waumie mbona ubunge aliupata kwa pesa zake, maji ya nini waipata tshirt, chumvi sukari, sh efu kumi kumi na efu moja moja.
  7. M

    Mwigulu: CHADEMA hawatakwenda Ikulu 2015

    Huyu jamaa ni punguwani namba moja mbona anayoyafanya hayaendani na kauri yake, kama ana uhakika huo kwanini hatuli kila siku kwenye majukwaaa si atulie tu yanini kuangaika
  8. M

    CCM: Dr. Slaa awekwe 'busy'

    kama ni kweli basi ni kameni nzuri sana kwa chadema, kwani wanamuongezea umaarufu zaidi na kuchukua nchi ki ulaini 2015.
  9. M

    BAVICHA kuitisha maandamano ya kitaifa kumg'oa Dr. Slaa!

    Hawa ni sawa na big g wanatumiwa na nape utamu ukiisha watatupwa kama big g.
  10. M

    Kikwete awaambia UVCCM 'msitutishe'; ahoji walikopata fedha

    We mal-ya tulia kaoshe uch- wako kwanza
  11. M

    Maandamano ya Kumsapoti JK Washington DC

    Mnaona njia nzuri ni kuyumbisha waandamanaji wetu, kwa ghiriba hiyo mme fail kwa kuwa nia yenu ni kuwadanganya watu kuwa mnawea kumzuia raisi asije ili watu waamini hizi kauli zetu ili maandamano yafe. Kwa taarifa yako hata iweje aje kikwete asije lazima tuandamane kwa mabango kama...
  12. M

    Shibuda ashangiliwa na wabunge wa CCM

    Huyu mzee ni mpumbavu kabisa kwani anafikiri kuwa yeye ndiye aliyeisaiia chadema na kuwa hata akisimama kwa chama chochote anaweza kuibuka na ushindi kitu ambacho si kweli watu hawakuchagua shibuda, bali walichagua dr slaa na chadema hivyo wakaona wasipoteze kura zao kwa ccm kwanza pamoja na...
  13. M

    Lowassa azungumzia kuanguka kwa Hosni Mubarak

    Aende kanisani kutubu kwamba aliwaibia wavuja jasho TZ, azirudishe kwa wananchi hata kama indirect kwa kujenga visima nchi nzima kama sabodo, then aje mbele na kutoa huo ushuzi wake.
  14. M

    Bunge la Miongozo ya Spika, Jee Mhe, Spika ni Dhaifu, Dikteta au?

    Wana jamvi mimi naona huyu mama Makinda anataka umaarufu wa uzeeni kupitia Godbless Lema, akidhani ndivyo vitu vilivyompa umaarufu mtangulizi wake Mheshimiwa Sitta. Sitta alifanya mambo ya msingi yanayogusa maslahi ya Taifa na wananchi kwa ujumla, mfano hoja za BOT na Richmond ambazo...
  15. M

    Wabunge Chadema wamtikisa Pinda bungeni

    Sifa ya kwanza ili kuwa mwana ccm lazima uwe muongo, pili uwe fisadi. pinda amefuzu uongo sasa anaelekea kwenye ufisadi.
Back
Top Bottom