kweli kuna haja kwa viongozi wa chadema kumchukulia hatua za kinidhamu. hata hivyo haishangazi kwa mzee kama shibuda.huyu bado ni kada wa ccm. amekwenda chadema kutafuta ubunge,sitashangaa,baada ya miaka 5 atarejea nyumbani kwake ccm. chadema iwekeze kwa vijana. vijana ndio wameongoza mapinduzi tunisia na misri.