Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
Hapo Mzee Kingunge anamwambia "Msalimie mwenyekiti wako mtarajiwa wa CCM, na usilete ungese ungese wako hapa"
Hapo Mzee Kingunge anamwambia "Msalimie mwenyekiti wako mtarajiwa wa CCM, na usilete ungese ungese wako hapa"
Hapo Mzee Kingunge anamwambia "Msalimie mwenyekiti wako mtarajiwa wa CCM, na usilete ungese ungese wako hapa"
.... haswaa!! ungese ungese
kwi kwi kwi
Mwenyekiti mwenyewe ndiye alijenga msingi huo katika umoja huu kati ya mwaka 1995 na 2005, na sasa anavuna alichopanda. Namsikitikia anaposema msitutishe, hivi kweli hatishiki? Kama hatishiki angeshapeleka mahakamani mafisadi wote. Vinginevyo anatudanganya kutishika kupo.Hao UVCCM wameyataka badala ya kusimamia misingi ya chama chao wanaweka maslahi mbele na kutumiwa na haohao wanasiasa ambao leo wanawadhihaki...hata hivyo bora uvunjwe naamini zaidi ya asilimia kubwa ya viongozi wa Uvccm hawajui chama chao kimejengwa katika misingi gani!
Wote tunamkubali nyerere. anzia kutathmini baada ya vyama vingi.unaumri gani kwani ? Wajumbe wa cc aboud jumbe na seif sharrif hamad ambapo mmoja alikuwa rais wa zanzibar na mwingine aliwahi kuwa waziri kiongozi lakini kutimuliwa kwao kulitokea kwa nyakati tofauti
Nyie kina easy fit ndio muwe na mtoa taarifa? unazua mambo weye.
Malimu Seif Sharif Hamad
Nyie kina easy fit ndio muwe na mtoa taarifa? unazua mambo weye.
.......ati nini! mwenyekiti anahoji UV-CCM imepata wapi fedha za kuwaweka Dom, teh teh teh, atoe kwanza boriti kwenye jicho lake, aanzie kwa Riz1.