Hakika ukimtoa namba 2 na 7 kwenye hiyo list, kwa Africa hawa wapiganaji wetu tunaopaswa kujivunia pia. Wanaweza wasiwe na umaarufu wa dunia ya sasa ya kibeberu, ila wapaswa na hakika ni hazina yetu. ..
1. Solomon Mahlangu
2. Patrice Lumumba
3. Kwame Nkrumah
4. Eduardo Mondlane
5. Felix...
Mtoa mada hujui siasa za kinachoendelea ktk ni wapi pa kujenga makao makuu ya Wilaya. Kiabakari pameendelea with all the socio-economic infrastructures in place. Mkono kwa fedha zake has been manipulating the Gvt and sm poor Councilors ili makao ya wilaya yajengwe Butiama. Cost Benefit Analysis...
Wengi mnaongelea miaka minane (8) ni mingi. Huyo dada amevumilia sana. Kwani uvumiliu ni kwa akina dada tu? Hiyo miaka nane na zaidi ambayo wanajipanga HAWAVUMILII kwa pamoja? Otherwise, labda km the case presented is incomplete (of course it should be). Waendelee kuvumiliana hadi muda stahiki!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.