Recent content by Makaura

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu binti wa Kitanga kaonesha utu na ubinadamu wa hali ya juu!! Naomba tuige kwake

    Wadau, kama wasemavyo watu wa Tanga ni watu wenye utu na ubinadamu, hatimaye nmeona kwa macho yangu. Nimefika Tanga kwa kufuatilia maswal ya shule ya mdogo wangu na nkafikie hoteli moja ya uswahilini. Nkaongea na muhudumu anitafutoe mtu wa kunipa kampani na hatimaye kanitafutia.Binti wa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nimerudi tena wadau..member wenu wa miaka miwili iliyopita

    Habarini za jioni wana MMU, toka mwaka 2014 sikuonekana humu hatimaye nimerudi tena kujumuika nanyi.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kutokwa na damu kwenye fizi: Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

    Shukrani mkuu...nimekuelewa vzuri...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kutokwa na damu kwenye fizi: Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

    wakuu heri ya pasaka, ni zaidi ya miaka 20 tatizo la kutokwa na damu kwenye fizi limekua likinikabili ila sikuwahi fuatilia chanzo na treatment. Hili tatzo hua linatokea hasahasa muda wa kuswaki. na damu inayotoka ni kidogo sana. Kilichonifanya nisifuatilie ni kutowahi pata maumivu yeyote...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Taratibu za kuwa agent wa Azam soft drinks

    Wadau habari za asubuhi, Naomba maelekezo ya namna ya kuwa agent wa hyo kampuni; 1. Je, taratibu na qualification zinazohitajika ni zipi? 2. Ofisi ipi nastahili kwenda? 3. Faida zake zikoje kwa mkoa wa Dar? 4. Changamoto zake ni zipi? 5. Kati ya Azam na METL soft drinks ipi inalipa vizuri...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Usafirishaji kwa Bajaji: Ueandeshaji, Changamoto, Faida na Ushauri

    Aise nimepata kitu humu, je mnaweza kutapa ufafanuzi juu ya kirikuu? Ni ipi bora kati ya kirikuu na bajaji? na bei ya bajaji kwa sasa ni sh ngapi? Min and maximum price
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nina Mil 7, nataka kununua bajaji ama kirikuu, kipi ni kizuri kwa biashara?

    Wakuu heri ya mwaka, nimepata huo mtaji na ninawaza kwa mkoa wa Dar es Salaam ninunue bajaji ama kirikuu. Naomba wazoefu na pia wenye uelewa juu ya hili; 1. Je, ni ipi itanilipa vizuri? 2. Je, ipi inachangamoto chache kwa Dar? 3. Profitability yake ikoje? 4. Nina mpango wa kumtafta driver je...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Rished Bade: Taarifa ya makusanyo ya kodi

    Mkuu umewaka hiyob25% kwa assumption ya tax compliance kua ni 100%. kwa nchi zinazoendela ni vigumu sana kufikia kama ulivoandika. TRA imejaribu kutengeneza mazingira ya compliance kwa kuanzisha EFD machine but still yet tunakua wagumu kuzikubali. lingine watanzania wengi hatudai risiti halali...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Bakhresa Group kuhusiana na Upotevu wa Makontena

    Product of HALAL maana ake nini? hua naonaga kwenye product zake ikiandikwa hivo
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kubenea: Kuhamisha stendi ya Ubungo ni ufisadi

    Hiyo iwe standi ya daladala tu. simu 2000 iwe ya daladala za kwenda Bagamoyo
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kubenea: Kuhamisha stendi ya Ubungo ni ufisadi

    Standi ipelekwe Kibaha... ni kwa vile hajui tunavoteseka kupishana na mabasi hapo mataa
  12. M

    JamiiForums Tanzania TCRA tuelezeni wateja wa M-Pesa/Tigopesa wanapofariki warithi wanapataje haki zao?

    Siku hizi sim card imekua benki ndogo ambayo mtu anaweza hifadhi kiwango kidogo cha fedha na hata kikubwa . Swali je, mmiliki wa fedha na mimliki wa lain akifa je kuna utaratibu gani wa ndugu zake mitandao kumrudishia hzo pesa?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Chawa wanatokeaje?

    uchafu unatengenezaje kiumbe hai?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Chawa wanatokeaje?

    Unanunua nguo mpya ukivaa muda mrefu bila kufua unakuja kukuta kuna chawa wamejaa. Wametokeaje? Nani kawaweka?
  15. M

    JamiiForums Tanzania SBC Tanzania yapunguza bei ya vinywaji vyake

    Pepsi ndio soda inayonyweka kwa wingi hapa Tz hasahasa dar na lake zone
Back
Top Bottom