Wakate tu, ili unapomtoza mtu 30K hata kwa jambo la kutoa onyo kwa mdomo waone makali yake. Japo wao wamepewa onyo la cku 14 bado hawakutii bila shuruti. ss watii kwa shuruti. Msimeno wa chuma hukata pande zote, acha kabisa.
Kuna hii dawa Neragen 0758621518 ilitangazwaga sana kipindi cha nyuma na hiyo namba ndio ilikuwa mawasilino yao.
jingine ni FITERAWA 0754411119 checki nao hao.
Ndogo nimesoma historia ulioandika ila imekaa kama habari ya kutunga japo yaweza kuwa kweli. Kwa mujinu wa maelezo yako wewe ni Mkristo, kwa kawaida ndoa ya kikrito ina kiampo cha kuishi na mkeo katika shada na raha mpaka kifo kiwatenganishe. Uenda uliapa bila kumaaninsha. Changamoto za maisha...
Swala sio uzito wa gari, pekee udereva pia ni ishu? we unakata kona na spidi 100 unategemea ni na hujui kulicontrol gari. Acha vitz paka tu anaweza kusababisha ajali mbaya inatehegemea dereva analiongozaje gari. Kama swala ni uzito ,boma mabasi ys abiria 65 yanaanguka kila kukicha utasema ni...
Namba kupatikana sio ishu kabisa, huna marafiki, hulali nyumbani wako, serikali za mitaa hawana kuambuia? sasa unashangaa nini? mm nipo Arusha lakini Napata sms mm ww.
Msaada kwenye tuta. Hivi karibuni Waziri wa Ardhi mh'wa Lukuvi alitangaza kushuka kwa viwango mbalimbali vya kodi ikiwemo ya ardhi (land rent) kwa 30%, nimekweda manispaa ya ilala leo kulipia kodi ya ardhi sikuona hilo punguzo kama alivyotangaza badala yake kuna waliopunguziwa 7% na wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.