Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,354
- 23,256
Kila la kheriNgoja nikajaribu kutengeneza Bomu tumboni...maisha haya!?
Kila la kheriNgoja nikajaribu kutengeneza Bomu tumboni...maisha haya!?
Mkuu na mimi nasumbuliwa na vidonda vya tumbo.Unasumbuliwa na vidonda vya tumbo??? Chukua maganda ya nanasi chemsha yakiwa na uvuguvugu changanya na asali ya nyuki wadogo kunywa. Kunywa mara mbili kwa siku na ufanye ivyo kwa muda wa siku saba.
Mbona umesema Dawa nusunusu tu? hujasema maji kipimo gani? na hiyo Asali ya nyuki wadogo kipimo gani? Na unachemsha kwa muda wa dakika ngapi? Dawa uliyo toa haijakamilika jinsi ya utengenezaji.Wape watu uhakika vile ulivyo fanya wewe na ukapona.Unasumbuliwa na vidonda vya tumbo??? Chukua maganda ya nanasi chemsha yakiwa na uvuguvugu changanya na asali ya nyuki wadogo kunywa. Kunywa mara mbili kwa siku na ufanye ivyo kwa muda wa siku saba.
Nilichukua maganda ya nanasi zima nikayachemsha kwa kutumia maji lita 1 na nusu nikayaacha yachemke mpaka nikapata glass 2.....baada ya hapo nikachukua asali nikaweka vijiko vinne kwenye ule mchanganyiko nikanywa asubuhi na jioni. So kwa siku nikawa natumia nanasi mojaMbona umesema Dawa nusunusu tu? hujasema maji kipimo gani? na hiyo Asali ya nyuki wadogo kipimo gani? Na unachemsha kwa muda wa dakika ngapi? Dawa uliyo toa haijakamilika jinsi ya utengenezaji.Wape watu uhakika vile ulivyo fanya wewe na ukapona.
Soma hapo juu nimemjibu mzizikavuMkuu na mimi nasumbuliwa na vidonda vya tumbo.
Naomba ufafanuzi juu ya kiasi cha maganda ya nanasi unayopashwa kuchemsha,maji na asali naweka kipimo gani na pia unatakiwa kunywa kiasi gani kwa maana ujazo.
Nimekuwa mgonjwa takliban miaka 3 najisikia tumbo likiwaka moto maumivu kifuani kuchoka kwumwamgongo mwilikukonda nk nimee zahanati malimbali mahospitar mbambali nishaenda nikapata dawa lakini spati nafuu kwa anae jua dawa msaada maaana bado napenda kuishi
Nipigie simu kwa namba hii: Dr. Saidi Lasso 0688 441 144 / 0752-712 550.Nimekuwa mgonjwa takliban miaka 3 najisikia tumbo likiwaka moto maumivu kifuani kuchoka kwumwamgongo mwilikukonda nk nimee zahanati malimbali mahospitar mbambali nishaenda nikapata dawa lakini spati nafuu kwa anae jua dawa msaada maaana bado napenda kuishi
Ni kweli magita, hata mimi nilikuwa na vidoda vya tumbo kwa mda mrefu ila nilipo pimwa nikapewa hizo dawa za heligo mpaka sasa niko powaNunua dawa ya Omeprazole, Gastrocide au nunua dawa ya Heligo Kit / ambayo kwa dose inauzwa 45,000/= hii dawa inauwa wale wadudu wa maambukizi ambao wapo ktk utumbo wanaitwa pyloric.
watu wengi wa vidonda vya tumbo wanalalamika kuwa hizi dawa haziponyeshi hii ni uongo. Hawaponi kwasababu hawafuati masharti. masharti yake baadhi ni:-
1. Usiwe na mawazo
2. Usiwe na hasira
#. Usinywe pombe, soda yenye gas, nyama choma, chipsi,maharage yani mbig zote za mikunde, chakula chenye viungo vingi, asprin, kupitisha muda wa kula. mimi niliumwa vidonga kwz miaka 7 lkn tangu 2005 hadi hii leo kila kitu nakula