Kamanda Sirro wewe ni jembe

Kamanda Sirro wewe ni jembe

Kuna watu wengine hakuna haja ya kuwasifia.. Siro anasifa zake za kipekee.
 
Nisiandike mengi sana, lakini wenzangu katika kazi za ulinzi na usalama tukubaliane tu huyu jamaa ni jembe sana. Najaribu tu kujiuliza kijana yule alivyoleta dharau kwa kamanda aliyefanya mengi kwa taifa hili kama ingekua mimi au wewe saa hizi....haki ya mtume...JPM una jembe mkuu wangu...
Mkuu ukisema """haki ya mtume """ unakusudia nini?
 
Anafanya kazi katika mazingira magumu sana. Hafanyi kazi za kipolisi anaingiliwa kiutendaji aachwe huru atumie ujuzi wake

Yaani wewe umeelewa vizuri joto la viatu vile..
 
Kammanda ambaye mimi naona anafanya kazi kwa akili na maarifa ni AHMED MSANGI, RPC MWANZA
 
Kati listi ya Bashite,ambayo kamanda aliwatia watu ndani,kuwapima kwa nguvu,kuwasachi nyumba zao,kuwa dhalilisha, kuwafedhehesha na komedi kedekede ,je kuna aliyekutwa na hatia na kuadhibiwa?

Nayaona yale yale ya Suleiman Kova,kelele nyingi mbele ya kamera za tv

Sirro hakufanya huo ujinga mkulu wangu.
 
Tatizo ni bashite na kuminya democrasia,,,,OK napita tu ata IDD amin kuna wanaomwita jembe
 
Nisiandike mengi sana, lakini wenzangu katika kazi za ulinzi na usalama tukubaliane tu huyu jamaa ni jembe sana. Najaribu tu kujiuliza kijana yule alivyoleta dharau kwa kamanda aliyefanya mengi kwa taifa hili kama ingekua mimi au wewe saa hizi....haki ya mtume...JPM una jembe mkuu wangu...
Aliyepewa tuhuma na RC wa DSM KUWA anayepokea rushwa ya wauza shisha ???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom