Recent content by Makancha

  1. M

    Ukweli kuhusu chuo ulichosoma.

    Kwa Udsm mkuu ujakosea kabisa
  2. M

    Naomba aliyeelewa hii picha atufafanulie!

    Ni vitu au mambo ya kuwa navyo ktk kipindi au mda usika kwa mfn mtoto anamda na nguvu nyingi lkn kijana au mda kwake ni mfinyu sana mana mambo yamekuwa mengi kila akiangalia mda anaona km vile aimtoshi lkn pesa na nguvu anaweza kuwa nazo za kutosha,ktk umri wa uzeeni nao pia mda na pesa...
  3. M

    Nawaza lakini sipati majibu, kwanini aliachwa?

    Tambua kitu ukishatumia akina dhamani tena ndo mana walimwacha wakiitaji kupata wapya mana kaishiwa pozi wamemchoka.Aliezoe chakula cha mama uamini akuna anaejua kupika zaidi ya mamake na cku akionja kwa jirani ndo atajua kumbe wapo ndo mana
  4. M

    Vipimo vya HIV vinanichanganya

    Kwani ye alipoenda kupima daktari amemwambia ni ndo tunaweza sema ni kweli au co mana ukisema hana amani lbda daktari ndo kamwambia ivyo na kwa vigezo gani
  5. M

    Rais alikuwa sahihi kumtumbua Nape.

    Akuna anachoweza makonda lbda kazi za nguvu c za kutumia akili angalia ktk mamuzi yake ndo utamjua ni zipi kazi anaweza na zipi awezi
  6. M

    Ridhiwani Kikwete: Fedha za maendeleo zinasuasua, serikali inasema Makusanyo hayajakaa vizuri

    Kweli km ukitaka kujua ukweli kuhusu serikali bana mlango wa fedha asingeongea kuhusu serikali ata kidogo
  7. M

    Ushauri: Tabia ya mke wangu kunidharau inaniumiza sana

    Big up sana mkuu wanawake ni walewale awafikirii ya kesho anaona amefika apo na ukiona ivyo jua kuna boya anamiliki kikubwa na kusepa na kufata yako kwani ye ndo wa kwanza kwako?km ye itakusumbua sana mi namini wapo wengi wenye sifa nzuri ata zaidi yake komaa na maisha mwanamke asikuchanganye akili
  8. M

    Uvumilivu unanishinda, nashindwa kutunza usichana wangu

    Ni vigumu kuwapata km we umebahatika kwanza mi nakupa pongezi pili fanya mazoezi sana itakusaidia kumaliza hamu
  9. M

    Makampuni ya Madini wanatulipa, hii pesa inaenda wapi?

    Kibaya ni kwamba kila aliepo madarakani anawaza akitoka ataonekanaje na atakuwa na nini ndo mana pesa aziwezi onekana ebu tujiulize duniani Tanzania ndo inaongoza kwa kutoa madini ya tanzanite lkn Kenya ndo inaitangaza Africa mashariki South Afrika ikiongoza Afrika mzima je c tupo wapi na faida...
  10. M

    Uko wapi weledi wa mama Prof. Ndalichako?

    Serikali inaisi kuendesha wizara zote ni Sawa ebu tufikirie nini mana ya serikali kusema elimu bure ili kupunguza idadi ya wasomi na hata ao wachache ni bora wasomi km mitaala inabadilishwa kila siku ili wajinga ndo wawe wengi.lkn mengne tunaweza ilaumu mtu kumbe anaongozwa na mwingne kufanya...
  11. M

    What most men consider to be “Wife Material”

    4 xhure no 1 has xuch characteristics being meaxured & dat y we say no 1 iz 100% perfect in diz world ,
  12. M

    Wanawake wanaweza wasisaliti kwenye mahusiano kwa asilimia kubwa kuliko wanaume

    Wapo wengine wanao wake zaidi ya 1 wanachepuka tutasemaje ni tabia yao tu
Back
Top Bottom