Nimekuelewa kabsaMkuuu unaelewa maana ya kujitambua.. M2 ukijitambua utajua kuishi na malimbukeni wa maisha hasa walioshka pesa ukubwan kama uyo dada! Kingne cc tukiongea yy ndo anabak na maamuz ya maisha yao ya ndoa mkuu! Nasstiza upendo ni gharama
NdoaDuu,pole sana,kwan i mlifunga ndoa halali au ni ile ya njoo tuishi wote, kama ningejua hilo ningekuwa na chakuongea au cha mushauri
Me nmekereka kwa kweli ....hao kuku wa kisasa wanaitwa zezeta sa nyingine sasa means mwanamke ni sawa na zezetaKuna daktari mmoja aliwahi kuniambia wanawake ndio walaji wakubwa wa chips kuku na chips mayai .
Akasema zile tabia za kuku wa kisasa na mayai yake yasiyo na kiini ni sawa na akili zao, yaani akili zao hazina kiini zipo tu.
Ujinga wa kuku wa kisasa ni pale unapomkamata bila kumfukuza ndio sawa na wanawake wa kisasa.
samahani kama kuna mwanamke nimemkera ,imebidi nitoe huo mfano japo najua wengi watahisi nimewadharau hapana natambua sana uwepo wenu maana hata mimi nimezaliwa na mwanamke.
Mkuu, kitu kimoja ambacho nataka nkuambie ama nijiambie,Mmmh! Wanawake huwajui wewe, haya kwao ni ya kawaida kabisa. Mwanamke hata awe smart kiasi gani na mwanaume wake ampe kila kitu chenye matamanio mwilini mwake na machine pake, usaliti ni kugusa tu tena inategemea na nguvu tu za ushawishi za huyo anaemshawishi si zake.
Huwa wanaanza kusaliti huku wakijilaumu, then kwa kasi ya ajabu wanatoka mazima, don't trust a woman.
Sawa mkuuBig up sana mkuu wanawake ni walewale awafikirii ya kesho anaona amefika apo na ukiona ivyo jua kuna boya anamiliki kikubwa na kusepa na kufata yako kwani ye ndo wa kwanza kwako?km ye itakusumbua sana mi namini wapo wengi wenye sifa nzuri ata zaidi yake komaa na maisha mwanamke asikuchanganye akili
Nashukuru sanaaaa mkuuUshauri wangu unaonekana ni kijana mzuri hongera.
Ushauri:
1.Shetani anaipiga vita familia yako believe me, usimruhusu shetani aivuruge hata kidogo.Piga goti omba Mungu ajuaye kesho yako akuteee.
2. Usijaribu kutafuta mwanamke mwingine Lea mtoto wako kwa hivi sasa muda ni jibu tosha .Mean vumilia
3. Usiuze Mali zako kisa kumkomoa mke wako no big No kwani uko nje ukienda hurudi? i acha mawazo hayo.Don't make permanent decision for temporary emotion.
4.Hujakosea kumshirikisha Dada yako anaonekana ana hekima sana muamini zaidi.
5.Nenda kwa amani uko abroad lakini endelea kumtumainia Mungu aitetee ndoa yako kumbuka usipomtegemea Mungu na kumkabidhi fadhaa zako wafwaa.
6. Nazidi kukuombea kwa Mungu ni imani yangu utarejeshewa furaha yako . Hakuna awezaye kupima kiwango cha fadhaiko la moyo wako ila Mungu ndiye ajuaye nitazidi kuikumbuka familia yako katika Maombi uwe mvumilivu.Yer 33:3
Naomba niende kwny mada .mke wng alikuwa mama wa nyumban nilikaa nae kwa upendo sanaaa cjawahi kujutia na upendo sanaaa na heshima.mpk Dada yng akasema nifanye mpng mke wng awe na kazi basi nikaanza mchakato kumpa elimu pia nikamtafutia kazi kabla ya kuanza kazi tulikuwa tunawasiliana kila cku maaan nimezaa nae mtoto 1 .nikamtafutia kazi mm nipo arusha akapangiwa kazi bukoba ss ndio tatizo limeanzia hapo.wiki ya kwnz kuripoti mwasaliano yalikuwa mazuri sanaaa maaaan hela ya kuanzia nilimpa ss alipoanza kupokea mshahara duuuuh akaaanza kunifanyia dharau napiga cm hapokei hata miss calls 30 akija hakutafuti nakutafuta cku akipenda nikimuuliza Mara nilikuwa busy na kazi hata jmosi na jmpl busy ucku busy basi umerudi home mbona unitafuti Mara simu haikuwa na Salio nakuuliza tafadhali nipigie kwny cm ukuwa nazo mbona ulipokuwa ujaanza kazi ukuwa na tabia hiyo umefika uko umekuwa busy.kunipigia cm kwa mwezi Mara 1 tenaaa aniuliza mzima ww nilikuwa nakusalimia au naomba kuongea na mtoto basi unaweza kumuona online whatuaspp online ukituma SMS asbh anakujibu ucku ukiuliza nilikuwa unachat na best zake daaa niliumia siku ambayo aliniambia kwa ss siwezi kufanya lolote ana kazi yake .cku hiyo nilitka nimfanyie kitu ambacho hawezi kusahau maishani mwake nilitaka niende kazini kumharibia kazi ila Dada yng aliniomba nisifanye hivyo baaada ya kumwambia nakuja kufany hivyo akamwambia mama yake.mama yk akaniomba nisifny hivyo sikutka kumusikiliza ila nilisikiliza ushauri wa Dada yng .mwaka 1 umeisha sina mawasiliano mazuri mama yake akaniomba nimsamehe nikakubali ila kasema atajirekebisha wiki 1 tu baadae akaanza tabia yake toka anze kazi cjawahi kumuomba hela yake najua mshahar anapokea bei gani kuna cku nikamuomba hela kidogo akasema nakutumia baaadae akaniambia sina nilimuuliza hela yako unafanyia nn maaaan sijawahi kkuomba hela yako wala kkuliza mshahar wako unapeleka wapi hana cha kuniambia. Kwnz kuongea nae kwa mwezi 1 moja mpk nimeamua nikae kimia simuulizi lolote nimemuacha afanye anachojickia siwahi kumuuliza ss.mm kwa ss nimekuja dar kikazi Nina miezi 2 wala cjamwambia km nipo dar nimekaaa kimia Nina mpango wa kusafiri nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 sijamuambia nyumba ya arusha nimemuweka MTU natka niuze nyumba ya dar na gari yang niondoke zng bila kumwambia mwanangu nimepeleka kwa Dada yng na nimemtafutia shule nzuri mm najindaaa kuondoka nikifika nje ya nchi namba itakuwa haipatikan ya tz hawezi kunipata nirudi tz nitaaanza maisha Mpya na mwanangu kuoa tenaaaa sitaki je nimefany kosa au pia ndugu zake nimeacha mawasiliano nao kabsa baaada ya ndugu yako unifanyia sivyo
Amini nakwambia ukifos utapata magonjwa coz hajui nn anafanya huko alikoNimefundishwa kutoyakimbia matatizo aisee..ingekuwa vyema kama ungefahamu root cause ya hayo yote aliyokufanyia na nini msimamo wake kwa sasa kuelekea uhusiano wenu, ukiamua kuondoka na kumuacha dillema haitoleta picha nzuri ukizingatia huyo ni mwanamke na vitabu vitakatifu vinasema tuishi nao kwa akili! always remember what goes around comes around... you heard?