Ukweli kuhusu chuo ulichosoma.

C. B. E sio kweli miaka yetu tuliopita pale enzi zile za advanced diploma hasa za accountancy wengi tuliingia na div. 1 na 2 za form 6 na ndio hao hao tuliotoboa hadi CPA. shida ni kwamba enzi zile vyuo vikuu vilikuwa vichache yaani hata mzumbe haikuwa chuo kikuu ilikuwa ni IDM.
 
Back
Top Bottom