Haohao Mafisadi na wala rushwa ndio nitawajachua n bora kuchangua hao kuliko MACCM yaliyo tia umasikini taifa hli kwa miaka 50. Tena mwaka huu n bora tuwape hao ili mabadiliko yatokee katika mfumo wa kinyonyaji wa MACCM.
Yuda katika ubora wake tena eti alitaka kujiunga na NCCR ila matatizo ya hapa na pale ikashindikana. N kweli ilishindikana baada ya kafulila kushidwa kumpindua mbatia.
24% ya wafuasi wa CCM wamesema watampigia kura yeyote atakayeteuliwa na chama maanake ni utafiti wa wana ccm .Mbona wafuasi wa vyama vingine hawakuojiwa?
Kaka upo sahihi kabisa kati ya vyuo vibofu chuu hiki n cha kwanza unajua hawa WAHINDI. wapo kwa ajili ya pesa mfano mnzuri chuo cha IMTU N hawahawa wahindi wana toa elimu ya kubabaisha.
Cha kushangaza IMTU wamekishungulikia ila hichi cha Ruvuma hata kuguswa wameshida NB. Serikari isipo kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.