CCM Tabora kimenuka!

CCM Tabora kimenuka!

Pamoja na historia ya kutukuka ya mji wa Tabora, mchango wa wananchi wa Tabora katika kuikomboa Tanzania kutoka kwa mafisadi haupo kabisa! Wamebaki wakitumikishwa katika mashamba ya tumbaku kama manamba!
 
Nabado subilien date 15.06.2015.kiongozi mkubwa ccm ameundiwa zengwe kubwa.
 
Mimi nasema hivi bora kinuke tu, tena kinuke mpaka kiwanukie kwani tumeshachoka sasa hapa Tabora Mjini na hiki chama...tunamtaka Athuman Said Sudi wa CUF atuongoze wana Tabora Mjini.
 
Mbunge msomali sijui hakuna watz huko

jembe;
Acha ubaguzi akikusikia rege nakuambia atakutoa roho na lile libastola lake shaurilo. Namfaham yule aliwahigi kuny.ea mtondooo si wamkumbuka. Haogopi jela yule anaogopa Mungu na njaa tuu:A S-rap::A S-rap::msela:
 
Pamoja na historia ya kutukuka ya mji wa Tabora, mchango wa wananchi wa Tabora katika kuikomboa Tanzania kutoka kwa mafisadi haupo kabisa! Wamebaki wakitumikishwa katika mashamba ya tumbaku kama manamba!

Mkuu sema taratibu unatutonesha kidonda wanyamwezi wenzangu wa tbr sijui nani kawaroga,miaka 54 ya Uhuru Barbara ya lami bado haijafka mkoani kuunganishwa na miji mingine.
Usafiri pekee uliobaki wa uhakika wa reli umehujumiwa hakuna kitu,kikubwa kilichibaki ni kile sanamu la Nyerere,halafu wamelalia masikio na CCM lao.
Na wazee wale waganga wa matambiko na michawi yote ya mjinivinashabikia CCM! Kweli CCM na shetani wa na unasaba
 
:A S-rap: :A S-rap: :msela: :msela:

WACHA WAMALIZANE! PARAPARAPARARAAA!
 
Na bado,,! Mpaka kioze sio kunuka tu!
 
Wanachama wa CCM Tabora Mjini wamefunga ofisi kumzuia Katibu wao wa Tabora Mjini asiingie. Hii inadaiwa kwa sababu ya kuwagawa wanachama na hivyo kuhatarisha uhai wa chama hicho kikongwe!

Wanachama wa chama hicho wameapa kutofungua ofisi hiyo hadi katibu huyo atakapohamishwa au kufukuzwa nafasi yake ya ukatibu!

Source: ITV habari za saa
hii laana imeletwa na aden rage baada ya kumshambulia mtu wa mungu Swai .
 

Attachments

  • attachment-2.jpeg
    attachment-2.jpeg
    4.4 KB · Views: 329
  • attachment-5.jpeg
    attachment-5.jpeg
    12 KB · Views: 330
Wanachama wa CCM Tabora Mjini wamefunga ofisi kumzuia Katibu wao wa Tabora Mjini asiingie. Hii inadaiwa kwa sababu ya kuwagawa wanachama na hivyo kuhatarisha uhai wa chama hicho kikongwe!

Wanachama wa chama hicho wameapa kutofungua ofisi hiyo hadi katibu huyo atakapohamishwa au kufukuzwa nafasi yake ya ukatibu!

Source: ITV habari za saa

Kila kihusucho ccm kwasasa ni beleshi la udongo kaburini mwa chama chawala
 
Back
Top Bottom