vipi tena wewe act unawakashifu mabwana zenu?Nabado muda wa chimwaga haujaanza
Ndio mm ACT ila kauli hizo ulizofuatisha sina majibu nayo nduguvipi tena wewe act unawakashifu mabwana zenu?
Maccm mwaka huu yatatoana vichwa.
Ya buku7 Lumumba nayo hayapatani.
Mbunge msomali sijui hakuna watz huko
Mbunge msomali sijui hakuna watz huko
Pamoja na historia ya kutukuka ya mji wa Tabora, mchango wa wananchi wa Tabora katika kuikomboa Tanzania kutoka kwa mafisadi haupo kabisa! Wamebaki wakitumikishwa katika mashamba ya tumbaku kama manamba!
hii laana imeletwa na aden rage baada ya kumshambulia mtu wa mungu Swai .Wanachama wa CCM Tabora Mjini wamefunga ofisi kumzuia Katibu wao wa Tabora Mjini asiingie. Hii inadaiwa kwa sababu ya kuwagawa wanachama na hivyo kuhatarisha uhai wa chama hicho kikongwe!
Wanachama wa chama hicho wameapa kutofungua ofisi hiyo hadi katibu huyo atakapohamishwa au kufukuzwa nafasi yake ya ukatibu!
Source: ITV habari za saa
Wanachama wa CCM Tabora Mjini wamefunga ofisi kumzuia Katibu wao wa Tabora Mjini asiingie. Hii inadaiwa kwa sababu ya kuwagawa wanachama na hivyo kuhatarisha uhai wa chama hicho kikongwe!
Wanachama wa chama hicho wameapa kutofungua ofisi hiyo hadi katibu huyo atakapohamishwa au kufukuzwa nafasi yake ya ukatibu!
Source: ITV habari za saa