JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

Uchaguzi Wa Urais Ukiitishwa Leo Nani atashinda?


  • Total voters
    273
  • Poll closed .
Mbona Dr.Slaa JF anaibuka mshindi kila siku kazi ipo uraiani huko ndiyo watu hawamtaki.
Hapa hamna kitu. Ni sawa na mtu kwenda bar kisha unawauliza walevi "Eti nyie walevi, kati ya pombe, juisi na soda ipi nzuri na tamu zaidi?"
 
Dr.SLAA ndo chaguo la WATANZANIA.Dr.SLAA is my choise.
 
Mbona Dr.Slaa JF anaibuka mshindi kila siku kazi ipo uraiani huko ndiyo watu hawamtaki.

Hata uraiani slaa anashinda,2010 alishinda,ukweli upo wazi,alitulizwa na maaskofu kuepuka mcahafuko,kwani mkuu wa kaya asingekubali kukaa kipindi kimoja ilihali wenzake wamekaa vipindi viwili ingekuwa ni aibu kwake,ndipo usalama wakaforce ushindi wake.
 
Mods,Mimi nimewakosea nini.mbona hamnipatii maelekezo.nashindwa kupiga kura.nimeomba toka jana lakini kimya.
 
Dr . Slaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
kuna members hasa wanaotumia cm hawajui jinsi ya ku-vote,sasa procedures zitolewe,au kura za kuandika majina zihesabiwe.Mpendwa wangu Dr.Slaa kura zake zinapotea bure
 
Back
Top Bottom