Jinsi ya Kujitoa kwenye Dhuluma za Vodacom

Jinsi ya Kujitoa kwenye Dhuluma za Vodacom

Goodrich

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2012
Posts
2,091
Reaction score
1,179
Simu inakuwa ipo offline na hujajiunga na huduma yoyote inayolipiwa fedha.

Unaweka salio eg TShs 1000, na kujaribu kununua bundle labda ya TShs 1000 inasema salio halitoshi.
Ukiangalia salio unakuta limepungua pengine hadi kubaki TShs 870 huku ikiendelea kupungua kadri dakika zinavyokwenda.
Kwa Voda kuwapata huduma kwa wateja ni ngumu sana.

Naomba msaada namna ya kujiepusha na dhuluma au wizi huu hasa ukizingatia laini inayotumika ni muhimu kwa shughuli zako na kuibadilisha haiwezikani.

Pia, kwa anayejua namna ya kujitoa kwenye hizi huduma sijui nipashe habari, nyimbo, alert nk ambazo huja kama kirusi.

NB:
Nawashukuru Airtel maana wao unanunua moja kwa moja bundle kutoka AirtelMoney na hivyo huwezi kwa namna yoyote kuibiwa fedha yako.
 
Vodacom ni moja ya kampuni inayotumiwa na mafisadi kuwadhulumu Watanzania.
Na hii ni dhuluma kubwa inayolalamikiwa sana !

Makamba unasinzia tu na kuota urais !
 
Namna ambayo mimi huitumia kukwepa kuibiwa ni kutoongeza kbs salio.
Na ninapotaka kuweka bundle naweka salio kwenye simu nyingine tofauti na kununua bundle kutumia option ya mnunulie mwingine.
Hivyo kw simu yangu inaingia bundle na sio fedha au salio
 
Kwakweli ni shida,mm nilinunua salio jana kwa mpesa cha ajabu wakabeba lote hadi salio lililokuwepo....nimewapa makavu live na nimewaambia nitashawishi watu 10 wa kuhama nao kwenye limtandao lao.
 
Kwakweli ni shida,mm nilinunua salio jana kwa mpesa cha ajabu wakabeba lote hadi salio lililokuwepo....nimewapa makavu live na nimewaambia nitashawishi watu 10 wa kuhama nao kwenye limtandao lao.

Hahahah mkuu nimecheka sana na hilo limtandao lao......
 
hameni kkkash mi nimehamia airtel vifrushi wamepunguza sana voda sina ht time na voda
 
Huu mtandao kwa kweli ni wa kiuni tyu me mpaka sasa siweki salio maana nimeweka maranyigi wana kata salio afu ukiwaliza wana toa majibu mepesi.
 
Kwakweli ni shida,mm nilinunua salio jana kwa mpesa cha ajabu wakabeba lote hadi salio lililokuwepo....nimewapa makavu live na nimewaambia nitashawishi watu 10 wa kuhama nao kwenye limtandao lao.

Ha ha ha aaah!!
Nina hasira nao hawa waizi!!
 
Kaka kama unatumiaaa hiziii smartphone nendaa na wakat unapotakaaa kuweka saliooo kwenye simu hata kama ya jerooo ununueee bundle la 500 la voda tu vodaaa before hujakwanguaaa ile voucher make sure umezima data vingnevyoooo utaonaaa umewekaaa helaaa hujapiga wala hujatuma hataaa kutumiwaaaa msg ila cha kushangazaaa ukitakaaa kujiunga na bundle au huduma mbadalaaaa unaaaambiwaaa saliooo lakooo halitosheleziiii ndiooo kama ivyoooo wote fanyen hiviii mi pia maraaa ya kwanza nmeliwaa sana ila kuna kipind nlikua nna nokia torch niljaribu kufanyaaa hiooo research nikagundua kunautofaut kat ya smartphone na torch na tofaut yake ni ile data ambayoooo kutwaaa nzimaaaa tunaiachaaaa on nazan nmeeeeleweka mimi siooo mtoa huduma wa Vodacom ilaaaaaa usiniukumuuuuu
 
Kaka kama unatumiaaa hiziii smartphone nendaa na wakat unapotakaaa kuweka saliooo kwenye simu hata kama ya jerooo ununueee bundle la 500 la voda tu vodaaa before hujakwanguaaa ile voucher make sure umezima data vingnevyoooo utaonaaa umewekaaa helaaa hujapiga wala hujatuma hataaa kutumiwaaaa msg ila cha kushangazaaa ukitakaaa kujiunga na bundle au huduma mbadalaaaa unaaaambiwaaa saliooo lakooo halitosheleziiii ndiooo kama ivyoooo wote fanyen hiviii mi pia maraaa ya kwanza nmeliwaa sana ila kuna kipind nlikua nna nokia torch niljaribu kufanyaaa hiooo research nikagundua kunautofaut kat ya smartphone na torch na tofaut yake ni ile data ambayoooo kutwaaa nzimaaaa tunaiachaaaa on nazan nmeeeeleweka mimi siooo mtoa huduma wa Vodacom ilaaaaaa usiniukumuuuuu

Hujaelewa mada.
Mtoa mada anaongelea simu ambayo ipo offline ie amezima upande wa data
 
Kaka kama unatumiaaa hiziii smartphone nendaa na wakat unapotakaaa kuweka saliooo kwenye simu hata kama ya jerooo ununueee bundle la 500 la voda tu vodaaa before hujakwanguaaa ile voucher make sure umezima data vingnevyoooo utaonaaa umewekaaa helaaa hujapiga wala hujatuma hataaa kutumiwaaaa msg ila cha kushangazaaa ukitakaaa kujiunga na bundle au huduma mbadalaaaa unaaaambiwaaa saliooo lakooo halitosheleziiii ndiooo kama ivyoooo wote fanyen hiviii mi pia maraaa ya kwanza nmeliwaa sana ila kuna kipind nlikua nna nokia torch niljaribu kufanyaaa hiooo research nikagundua kunautofaut kat ya smartphone na torch na tofaut yake ni ile data ambayoooo kutwaaa nzimaaaa tunaiachaaaa on nazan nmeeeeleweka mimi siooo mtoa huduma wa Vodacom ilaaaaaa usiniukumuuuuu

Mbona mtandao ninaotumia hauna iyo kero?usumbufu huo wa kuzima data...!
 
Ukiwa na line tatu mfano voda,tigo na airtel....voda huwa naifananisha nasawa kuwa na V8 imepaki uwani, then hizi zingine ni vi-stalet.
 
Washindwe vodacom,mi kuna siku salio langu limepotezwa halafu kumpigia muhudumu eti anasema nimpigie baada ya nusu saa.
Wanahudhi hawa majitu.
 
Tigo nao wajipange kwenye swala la internet yaan ni shida sana kuperuzi nowadays mda mwingine wanaleta sms zakuomba radhi kwa tatizo la net lakini sioni wakitatua tatizo.
 
Back
Top Bottom