Recent content by maka7

  1. maka7

    Mambo gani mtu anapaswa kufanya kabla ya kuacha kazi

    Ila jitahidi kufanya ujasiriamali huku unafanya kazi yako hiyo ..
  2. maka7

    Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

    Afrika tuache kulaumu kila kitu...sisi tumekuwa watu wa kulaumu sana..Tufanye kazi, tujitume..,Tuwe waadilifu ...discipline is very important for us,....Waafrika hatujali mda, Tujali mda ...USIPOTEZE MDA WAKO KWA MAMBO YASIYO NA FAIDA KWAKO.,TUCHAGUE VIONGOZI BORA SIYO BORA KIONGOZI...
  3. maka7

    Mitandao mingine ya simu kama imerogwa

    Haloteli Mtandao wao ushaanza kusumbua
  4. maka7

    Mitandao mingine ya simu kama imerogwa

    Haloteli mtandao wao ushaanza kusumbua sana sana...Mpaka kero ..halafu wamepunguza Mb ..Bahama haloteli
  5. maka7

    Kauli ya kuitwa 'wanyonge' ndio silaha hatari wanayoitumia viongozi ili wananchi wasitoke nje ya boksi

    Inadikitisha sana matokeo ya form 4 hayaridhishi hata kidogo
  6. maka7

    Tatizo la kukasirika mara kwa mara bila sababu

    Itia Jina LA Yesu ndio dawa..Pia unaonekana una msongo wa Mawazo ..punguza kuwaza ...
  7. maka7

    Watanzania tuwe na utamaduni wa kutembea haraka ,Mimi nadhani itaongeza uchapakazi

    Kwelii kutembea polepole dalili ya msongo wa mawazo ...pia Uvivu wa kufikiri
  8. maka7

    Uhaba wa ajira walimu wa Arts toka Serikali

    Heri uwe mjasiriamali
Back
Top Bottom