CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Alishindwa yeye na si mwingine. Shida zenu kashindwa fulani basi wote tutashindwa tu make fulani kashindwa.Kwahiyo hutaki tuseme walioshindwa?!
Na swala la mafanikio sio swala la leo.l na kesho some time hata huchukua 15 years na zaidi ya hapo.
Mnataka.kaacha jana basi aanze kuendesha V8 yake. sio hivyo kuna kazi ngumu sana.