Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,984
- 11,794
Vodacom Tanzania ndio wenye hii tabia walikula salio langu nikawatumia meseji moja ndefu sana hadi wakanipigia simu na kuniahidi kurudisha pesa yangu lakini hadi leo kimya mwisho wa siku nikaona suluhisho ni kununua kifurushi kwa M- pesa tu.