Recent content by majisafi

  1. M

    Filamu hupotosha imani

    hiyo ndio hasara ya utandawazi mkuu.
  2. M

    Mpaka sasa Yanga 5 mwarabu 0

    kuwatoa waarabu ni mbinde hasa kwa hizi timu zetu za africa mashariki.
  3. M

    LIVE UPDATES : Yanga (Tanzania) Vs Al ahly (Misri),

    tusubiri tuone lakini kama imani sina hivi. Tuombe mungu.
  4. M

    Anacheat lakini bado ana wivu kwa mkewe, si ubinafsi huu

    avumilie tu ndoa ni milima na mabonde zaidi sana amuombee kwa mungu abdili tabia yake.
  5. M

    Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

    sasa kwani wewe ulitaka asemeje? Hayo ndio maoni yake. Ametumia uhuru wake na wewe toa ya kwako. Acha kulalamika.
  6. M

    Bunge lakanusha tuhuma za Paul Makonda kuhusika na wizi wa simu bungeni

    ok sawa hakuiba. Sasa mwizi ni nani? Au mwenye simu alijiibia mwenyewe.
  7. M

    Jamani Natafuta Kazi

    pole sana ila usikate tamaa.
  8. M

    Ratiba ya faragha chumbani

    mapenzi ni hisia so muda wowote mkijisikia peaneni mambo. Maandiko yanasema msinyimane.
  9. M

    Ratiba ya faragha chumbani

    mapenzi ni hisia so muda wowote mkijisikia peaneni mambo. Maandiko yanasema msinyimane.
  10. M

    Simba yadhamiria kukamilisha Uwanja wake ndani ya siku 100 kuanzia Machi Mosi

    kwani wale waturuki waliowahi kuletwa kwa ajili ya huo uwanja waliishia wapi. Leo tena wanachama ndio wakajenge uwanja? Ngoja tusubiri siku mia moja sio nyingi.
  11. M

    Wanaume wengi hutoa udenda hapa

    si kweli. Kila mtu na chaguo lake. Labda hilo ndio chaguo lako.
Back
Top Bottom