ndio ratiba yenyewe hiyo....hakuna ratiba isipokuwa siku za hatari ni kuwa makini na kutofanya siku za hedhi
That is faith.........kama unaamini inakua hivyo.
Nnaimani ushawahi sikia hili neno "kubariki ndoa" je hawa wahusika walipokuwa kitandani walikuwa wanafanya tendo gani?
Kwa upande wangu sipendi mambo ya ratiba napenda ile kutwa mara3 na usiku mara2 or3 sio mbaya...
mmh! kazini pataendeka kweli kwa uchovu? maana mtakuwa mnasinzia job!
kwa wanaume mkitupangia siku za kula tunda ndo mnatuchochea tukale nje..
e.g unanipangia mara 2 kwa mwezi..that is 2/30 days
wakati nina uwezo wakupiga 20/30 days..((10 nimeziweka excluded kutokana na UEFA ..inakata mood so far..pumziko..umesafiri kidogo))
kwahiyo apo kama nimepangiwa mara 2..izo mara 18 atanisaidia nani??
ndo mana kidumu kinakuja apoo...vidumu 3...kila mmoja mara 6 kwa mwezi vinamalizia hesabu yetu:evil::evil::evil:
uyo kidumu hakimuhusu...huyo daktari au mitishamba ndo inamu huuuvipi kwa mwanaume anae fanya mara2 kwa mwezi,alafu bao1 je mwanamke kidumu kitamhusu?
Weka ratiba halafu usile vizuri tuone kama utafauta ratiba hapa! Ratiba bongo? wizi mtupu.
Kama kuna mapenzi ya dhati, hata kama mnatoka kazini mmechoka kiasi gani!!!! Kama kuna mahusiano mazuri hakuna ratiba ya kufanya mapenzi, kama mmojawapo amechoka basi ni kazi kumliwaza mwenzie kwa maneno na huba tamu kumsaidia mwenzie apate hisia, mkisikilizana na kupendana kwa dhati mapenzi hayana ratiba, na kama kila jambo mwafanya pamoja basi hata wakati wa kuoga mwaweza maliza mambo huko bafuni. Na kama mmoja anachelewa kurudi basi anaporejea nyumbani unaamka, unampokea kwa huba, maji ya kuoga, anakula kisha mwajongea kitandani, hata mkilala mmekumbatiana kwa upendo ni zaidi ya hilo tendo la ndoa.