Recent content by Majimoto

  1. Majimoto

    Askofu Zakaria Kakobe: Tanzania siyo nchi ya chama kimoja! Amtaka Rais Magufuli atubu

    ..... nao pia wana viti vyao kwenye mkutano mkuu wa chama chetu.
  2. Majimoto

    Mwenyekiti wangu Magufuli, usitubu!

    Huwezi kutaka kuombewa bila toba, bila toba hakuna maombi
  3. Majimoto

    Vitambaa vyeusi wavalishwayo watoto mikononi na shingoni huwa maana yake nini

    Uchawi ni roho, wapo watu wengi sana wana roho za uchawi bila ya wao kujua kabisa kuwa wao ni wachawi.
  4. Majimoto

    Vitambaa vyeusi wavalishwayo watoto mikononi na shingoni huwa maana yake nini

    Wengi wanasema ni kinga ya kuzuia magonjwa hasa degedege na kuzuia wachawi wasimzuru mtoto Lakini mambo haya siyo mambo madogo kama watu wengi wanavyofikiri. Kinachofanyika ni kumuunganisha mtoto na mamlaka za kichawi za kuzimu kumlinda mtoto kichawi. Hizi mamlaka za kuzimu ni kweli...
  5. Majimoto

    Hali ya mapato ya serikali yashuka, serikali haina pesa wananchi tujifunge mikanda

    Ni kweli kabisa wakadarasi wengi hawajalipwa na serikali kipindi hiki cha awamu ya tano. Ujenzi wa hostel za wanafunzi wa chuo kikuu cha DSM serikali ilitoa bilioni kumi ambazo ziliishia kwenye awamu ya awali ya msingi, kuendeleza ujenzi ni pesa za wakandarasi ambao kwa sasa wanaidai serikali...
  6. Majimoto

    HANDENI: Serikali yapiga marufuku wakulima kuuza mahindi yakiwa mashambani

    Mahindi mabichi yana bei nzuri kuliko kusubiri yakauke
  7. Majimoto

    Nilichokiona safari yangu ya Mtwara

    Mabasi ya Buti la Zungu yana daraja la kwaza na daraja la pili.
  8. Majimoto

    Taarifa hizi za uhakiki wa majina ya mshahara zina ukweli?

    Kama account yako ya bank ina majina matatu na kitambulisho chako cha kazi kina majina mawili, rekebisha jina la kitambulisho kwa mwanasheria au mahakamani haraka kabla ya mwaka mpya wa serikali kuanza kwani jina lako litaondolewa kwenye mishahara
  9. Majimoto

    NMB: Haya makato mapya!

    1600 + 288 (18%VAT) = 1888 800 + 144 (18%VAT) = 944 8000 + 1440(18%VAT) = 9440
  10. Majimoto

    Hela natafuta mwenyewe, sielewi kwanini serikali inajaribu kunipangia matumizi

    Mambo kama haya ndiyo yalivyo nchini Zimbambwe.
  11. Majimoto

    Hivi jimbo la Kisarawe lina Mbunge?

    Mwigizaji mkongwe wa vichekesho hapa Bongo, Rashid Mwinshehe "Kingwendu", amesema alijiandaa Kugombea Ubunge 2015 lakini kura hazikutosha.
  12. Majimoto

    Hivi jimbo la Kisarawe lina Mbunge?

    Mbunge wa Kisarawe (CCM) Mhe.Seleman Jafo
  13. Majimoto

    Siasa sio ugomvi: Hafla, ujio wa Rais Zuma

    Wanasubiri pesa za wawekezaji.............
  14. Majimoto

    Kiwanja Kinauzwa

    Karibu na Morogoro road?
Back
Top Bottom