Hivi jimbo la Kisarawe lina Mbunge?

Samvulachole

JF-Expert Member
Oct 22, 2006
413
117
Naamini kuwa hii ni wilaya/jimbo ambalo ni maskini kuliyo yote Tanzania

Hivi wana kisarawe mnashindwa kumput to task huyo mbunge wenu (kama yupo)?

Mambo ya musing kama Maji, Umeme, Barabara na Afya ni non existent kwenye hili jimbo

Kama mmeshindwa kwa nini mnashindwa kumshitakia kwa Rais au kwenye vyombo vya habari?

Kama mmeshindwa kabisa kwa nini msimpe jimbo lenu Mchagga au watu kutoka Mbeya au Iringa ili wawaletee maendeleo?

Sielewi huyu mbunge wa Kisarawe anashindwa vipi na wabunge wa Kibaha, Bagamoyo na Mkuranga ambao sio mawaziri

au tumeleaaaniwa wana Kisarawe?
 
mtihani sana utadhani tumelaaaniwa. Mbunge wa Mkuranga anafanya mambo makubwa na mazito kuliko huyu waziri tuliyenaye
 
Mtawatoa roho wabunge bure. Hii ni message ya tatu tunaiona leo hapa kuhusu wabunge kulalamikiwa kwa mambo ya maji, barabara, umeme na nk. Hivi mnapowaitaga wabunge "Law makers" huwa mnajua maana yake???? Yaani mnaacha kuirarua serikali ambayo ndiyo yenye wajibu wa kushughulikia maji, umeme, barabara n.k nyie mnawarukia law makers???? No, kila mtu afanye kazi yake...
 
images


Mbunge wa Kisarawe (CCM) Mhe.Seleman Jafo
 
mngempa KINGWEDU sasa hivi jimbo lingekuwa hoyahoya kama MIKUMI mzee wa mituringa anavyolipeleka vema gurudumu la maendeleo


images


Mwigizaji mkongwe wa vichekesho hapa Bongo, Rashid Mwinshehe "Kingwendu", amesema alijiandaa Kugombea Ubunge 2015 lakini kura hazikutosha.
 
Mtawatoa roho wabunge bure. Hii ni message ya tatu tunaiona leo hapa kuhusu wabunge kulalamikiwa kwa mambo ya maji, barabara, umeme na nk. Hivi mnapowaitaga wabunge "Law makers" huwa mnajua maana yake???? Yaani mnaacha kuirarua serikali ambayo ndiyo yenye wajibu wa kushughulikia maji, umeme, barabara n.k nyie mnawarukia law makers???? No, kila mtu afanye kazi yake...
walipoomba kura walisema watatatua haya matatizo
 
Kweli kabisa mkuu! Nimefika mwaka huu nilishangaa mpaka nikauliza wenzangu kulikoni hapa mbona pako kama kijiji! Eti wilaya imeanzishwa kabla ya uhuru!!!
 
Back
Top Bottom