Siasa sio ugomvi: Hafla, ujio wa Rais Zuma

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,301
12,600
9.jpg
 
Kuna watu humu wanalazimisha upinzani uwe chama kimoja tu nchini aiseee
Upinzani ni mitizamo na itikadi ikichanganywa na utofauti wa sera na jinsi ya kuzitekeleza. Sasa mtizamo wa Lipumba, Cheyo na Mrema juu ya jinsi nchi hii inavyoendeshwa hivi sasa una tofauti gani na alio nao Mangula?
 
Upinzani ni mitizamo na itikadi ikichanganywa na utofauti wa sera na jinsi ya kuzitekeleza. Sasa mtizamo wa Lipumba, Cheyo na Mrema juu ya jinsi nchi hii inavyoendeshwa hivi sasa una tofauti gani na alio nao Mangula?
Kwani na hao utawaita wapinzani?
 
Lazima ukae na mtu unayeelewana naye, ipo kila kwenye sherehe, summits n.k. "People who have got something in common"..Ni protocol wakuu..Sasa ukikosea hapo si utaleta sokomoko?!
 
Ina maana kipindi kile cha juisi na chai ikulu ilikua sio upinzan wa kweli?maana sera na utekelezaji haupo kabisa miongoni mwa wapinzani. Upinzani sio kuzira bali kuwa wenye msimamo dhabiti wa kuikosoa serikali kwa mbinu na njia za kitaalam.
Upinzani ni mitizamo na itikadi ikichanganywa na utofauti wa sera na jinsi ya kuzitekeleza. Sasa mtizamo wa Lipumba, Cheyo na Mrema juu ya jinsi nchi hii inavyoendeshwa hivi sasa una tofauti gani na alio nao Mangula?
 
Back
Top Bottom