Maswali huwa hayakimbiliki katika jamii tena hakuna mtu au watu ambao wanaweza kukuuliza hivyo kama hawakujui ni lazima wanakujua na kukutambua vizuri na wakitazama wanaona umri wako umeenda na hata dalili hakuna
Kwanza pole sana kwanini unamfurahia mtu pindi anapokuwa mzima hana matatizo na hisitoshe huyo ni mme wako na umeshazaa nae watoto wawili na kayapata matatizo hayo tayari akiwa kwenye ndoa hvy inakupasa umvumilie kwani ulishakula kiapo wakati unafunga ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.