Recent content by majikunywa

  1. M

    Nimetandikwa kofi la uso

    Kwel kwa mabasi ya dar yanavyojaa na kubanana vile siutakuwa unapigwa vibao kila siku
  2. M

    Baada ya kuwa na wewe nimepata matatzo sana

    Kwel watu wengine hawabebeki kabisa nikujipumzikia
  3. M

    Ya kwako lini?,nachukia sana swali hili

    Maswali huwa hayakimbiliki katika jamii tena hakuna mtu au watu ambao wanaweza kukuuliza hivyo kama hawakujui ni lazima wanakujua na kukutambua vizuri na wakitazama wanaona umri wako umeenda na hata dalili hakuna
  4. M

    Habari njema: Heaven on Earth katoka Hospitali

    Mungu azidi kumpa nguvu
  5. M

    Heaven on earth avamiwa na kujeruhiwa vibaya

    Pole sana Mungu akupigania upone
  6. M

    Ana mapenzi kweli huyu au anataka kulelewa tu!

    Kuna watu wanapenda kubeba mizigo kwel
  7. M

    Nani yuko macho tupige stori?

    Mimi niko lindoni na baruti
  8. M

    Jinsi nilivyo keketwa na kunusurika kifo

    Pole sana mdada kwa kilichokukuta kwani inaumiza sana.
  9. M

    Ushauri unatakiwa huku

    Kwanza pole sana kwanini unamfurahia mtu pindi anapokuwa mzima hana matatizo na hisitoshe huyo ni mme wako na umeshazaa nae watoto wawili na kayapata matatizo hayo tayari akiwa kwenye ndoa hvy inakupasa umvumilie kwani ulishakula kiapo wakati unafunga ndoa.
  10. M

    Hebu kila mtu ajiulize

    Haijawahi nikuta na sijui itakuwaje hiyo siku?
Back
Top Bottom