Ushauri unatakiwa huku

Ushauri unatakiwa huku

Avumilie tu kwani papuchi itaharibika kwani asipo gegedwa?
 
Ingekuwa ni ndoa ya Kiislaam ungetowa wewe talaka.

Hii ya kidunia sijui, wataalaam watakuja kukusaidia.

Napenda kukupa nasaha, vyovyote itakavyokuwa, usitembee nje ya ndoa na utakapopewa talaka usitembee nje ya ndoa, hakikisha unalewa tena.

Pia fikiri, kwa kuwa mmeshazaa na mumeo, mnaweza kutumia njia nyingi mbadala za kufanya "sex", si lazima hilo dudu lilisimame.

Umenena vema, nami (huyo dada) sipendi na sina tabia ya kutoka nje, tatizo ni wivu uliopindukia na pia sijui hizo njia mbadala za sex kama atazikubali kwa kuwa hapendi kabisa kuongelea suala hilo, mara zote anakuwa mkali mkali tu, hakuwa hivyo awali. kwangu bado ni kitendawili.
 
mmm!!! kuna msemo mmoja wa kilugha!! "ochwe nchwo bhunuzi!! mila mile omulilo!!!! POLE MHUSIKA anunue zile artificial organ!!
 
hujasema unahtaj watoto, hvyo htaj lako lnabak kwenye kupunguza genye kitu ambacho kinaweza fanywa kwa namna nyng tu na ukaendelea kutunza familia yako..usiache mbachao......
 
ila kama happiness win umekuwa huyo mdada hiviii...hahaha nachokoza tu.
 
Last edited by a moderator:
km kweli anampenda mumewe basi atakuwa naye ktk kila hali...kwa sisi wanawake inawezekana ukaishi na mume akiwa namna hiyo ila kwa wenzetu hawa wanaume kwao mbona ni hapohapo akijua tu kuwa umekwisha habari yako kwenye papuchi basi ni fasta kashapata mwingine wa kumpa raha..sasa dada km anampenda mumewe kwa dhati kbs, na ana IMANI YA MWENYEZI MUNGU, basi na amvumilie kwa ajili ya MWENYEZI MUNGU tu na ninaamini atambariki...ila km anaona km hana mapenzi naye kisa hiyo hali basi akili kumkichwa...
 
Tatizo hilo lipo toka enzi na enzi... Na lina taratibu zake...mshauri aende kwa aunt wa mumewe au mama mkwe wake amtonye kisiri..itawekwa secret mission anapewa Kijana probably mdogo wa mumewe anasimamia shoo kwa kulinda heshma ya bro na familia. As simple as that.
 
ila kama happiness win umekuwa huyo mdada hiviii...hahaha nachokoza tu.


Mie kusema ukweli tena kweli tupu mbele ya sura ya dunia hii ya leo. Ningemuacha; tena kwa amani tu. nimeandika humu ili tu kupata mawazo tofauti na yeye mwenyewe ajionee watu wasemavyo.... no dudu no ndowa.
 
Hiyo ni mojawapo ya sababu ambazo ukipeleka Mahakamani talaka inakubaliwa kutolewa yaani non- consumation of marriage labda kama anaweza kwenda kufanyiwa maombezi akapona. Ndio maana hata biblia inashauri mwanamke ambaye ni mjane na hajafikisha miaka 60 ni vizuri aolewe lengo ni kumuepusha kuishi maisha ambayo sio mazuri mbele za Mungu.
 
Kwanza pole sana kwanini unamfurahia mtu pindi anapokuwa mzima hana matatizo na hisitoshe huyo ni mme wako na umeshazaa nae watoto wawili na kayapata matatizo hayo tayari akiwa kwenye ndoa hvy inakupasa umvumilie kwani ulishakula kiapo wakati unafunga ndoa.
 
Hpo hamna ndoa mwanaume ukishindwa kugegedana ndoa inakufa, mana hakuja kwako kma pambo
 
Mie kusema ukweli tena kweli tupu mbele ya sura ya dunia hii ya leo. Ningemuacha; tena kwa amani tu. nimeandika humu ili tu kupata mawazo tofauti na yeye mwenyewe ajionee watu wasemavyo.... no dudu no ndowa.


hahahaha..penda ile kitu weweee
si atafunika na mkono tu inatosha!
 
Hiyo ni mojawapo ya sababu ambazo ukipeleka Mahakamani talaka inakubaliwa kutolewa yaani non- consumation of marriage labda kama anaweza kwenda kufanyiwa maombezi akapona. Ndio maana hata biblia inashauri mwanamke ambaye ni mjane na hajafikisha miaka 60 ni vizuri aolewe lengo ni kumuepusha kuishi maisha ambayo sio mazuri mbele za Mungu.

kwa stori hii unauhakika mkuu??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom