Hebu kila mtu ajiulize

Hebu kila mtu ajiulize

yaani kuna vitu unaona ni vidogo kwa mpenzi ila mwenzangu ukiona alert tu shtuka1 i was there too! mtu anafanya hivi unaona hapana he is mine this means nothing! weeee mmmh !
Halafu nikakuta pia amejibu dahhh uchungu wake hauelezeki!
 
Umewahi kukuta SMS ya mapenzi kwenye simu ya mpenzi wako akimtumia mtu mwingine tofauti na wewe? Ulijisikiaje uliposikia mtu mwingine akiitwa majina mazuri ya kimapenzi na mpenzi wako, pengine kuliko hata yale ambayo huyatumia kwako? Ulichukua uamuzi gani? Nakukaribisheni kwa moyo mkunjufu kabisa, karibuni

Mimi sijawahi na sitaki pressure. Marufuku mke wangu kupokea au kuperuz simu yangu. If she does so, it will be at her own risk!
 
Mimi sijawahi na sitaki pressure. Marufuku mke wangu kupokea au kuperuz simu yangu. If she does so, it will be at her own risk!


Kwa maana hiyo unamkataza, kwa hiyo una mambo yako ya siri,
yy anatakiwa mwenyewe kwa ufahamu wake bila ya kushawishiwa na mtu asishobokee simu yako lkn c kwa mkwara km huo, umebugi meeeen
 
Back
Top Bottom